wataanza kuchinjana very soon.Aliyemuua Kabila aliuawa siku ile ile!
Shekedi anajiandalia ulinzi, hawa watakuwa walinzi wa Shekedi na Kabila itampasa alale jicho 1 wazi.
Everyday is Saturday...............................
Ndigana Masasuwengi walionewa, Kabila alipokufa watu walikamatwa hovyo sana, Tshisekedi hajakurupuka lazima ana sababu zake
hata hivyo inaaminika sababu za Kabila kuuwawa ni kitendo chake cha kumuua mmoja wa watu wake wa karibu ambaye ndiye aliwa train hao kina “kadogos” ambao walikuwa ndio walinzi wa Rais (jina la huyo jamaa nimelisahau)
colonel edi kapendi aliishatoka siku nyingi yule jamaa alionewa video zake ziko you tube yule jamaa ni askari haswa very royalJohn kapende is out now
Na ndio maana ameamua kujitoa kwenye utumwa huo!!wa congo man wengi wanamuona kama ndio mkombozi wao, na kabila anachukiwa sana na wa congo, ila ni kikundi tu kidogo ndicho kiko naye nacho ni kutokana na maslahi yao tu!!ila kwa kinachoendelea congo, ufalme wa kabila unakwenda dondoka, na ndio mengi yatamfuata!!hiki kiunzi kama tshekedi atakivuka basi, ataweza kutawala vizuri.Tshekedi mwenyewe anaongoza hilo taifa kwa kufuata utawala uliopita..maana Bunge la nchi hiyo lina wabunge wengi kutoka chama cha Kabila..kuliko chama chake kinachodaiwa kuongoza dola lakini ukweli ni kwamba kabila anaongoza nchi kupitia bunge.
Imeisha hiyo.Afisi ya rais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imesema Rais Felix Tshisekedi amewapa msahama wa rais watu ishirini na sita waliokuwa wamefungwa jela kwa njama ya kumuua rais wa zamani wa nchi hiyo Laurent Kabila.
Watu hao walihukumiwa kifo na maafisa wanasema baadhi wamefariki wakiwa gerezani ila hakuna hata mmoja ambaye amenyongwa. Laurent Kabila aliuwawa kwa kupigwa risasi na mlinzi wake katika kasri lake mwezi Januari mwaka 2001.
Mara tu baada ya kumuua, mlinzi huyo naye aliuawa kwa kupigwa risasi. Mtoto wa Laurent, Joseph Kabila mara kadhaa alikataa wito wa kuwasamehe watu hao waliofungwa kwa kumuua baba yake.
Anaitwa kamanda masasu ndangawengi walionewa, Kabila alipokufa watu walikamatwa hovyo sana, Tshisekedi hajakurupuka lazima ana sababu zake
hata hivyo inaaminika sababu za Kabila kuuwawa ni kitendo chake cha kumuua mmoja wa watu wake wa karibu ambaye ndiye aliwa train hao kina “kadogos” ambao walikuwa ndio walinzi wa Rais (jina la huyo jamaa nimelisahau)
Ukifuatilia hii sakata utagundua col.eddy kapend ndio kiunganishi cha kuuawa kabila lolacolonel edi kapendi aliishatoka siku nyingi yule jamaa alionewa video zake ziko you tube yule jamaa ni askari haswa very royal
Mobutu alishachemsha kwa waasi wa Katanga hadi akaomba msaada kwa Marekani na Ufaransa ndio wakamuokoa jimbo tajiri la Katanga chini ya aliyekuwa Gavana wakati huo Moise Tshombe lisiende.DRC migogoro itakwisha akipatikana Dictator tena, wakati Mobutu anachukua madaraka nchi ilitaka kugawanyika jimbo la shaba liwe nchi yani kuwe na nchi mbili humo ila Mobutu alipeleka jeshi na waliuwawa wanamgambo wote
wakati wake watu waliopanga kupindua nchi au kumuua aliagiza wauwawe nchi ikawa na amani kwa miaka kama 25
Mobutu alishachemsha kwa waasi wa Katanga hadi akaomba msaada kwa Marekani na Ufaransa ndio wakamuokoa jimbo tajiri la Katanga chini ya aliyekuwa Gavana wakati huo Moise Tshombe lisiende.
hapana mkuu kilichomgalimu ni harakati zake za kulinusuru taifa manake wanasema ma general walikua wanamsikiliza sana cornel edy kapendi kwa sababu ya ukalibu wake na rais kabila na ndie aliye muua yule kijana aliyemuua rais sema walimuhoji kwanini uliharakia kumuua badala ya tumuhoji hapo akatepeta ila alikua hajui mission yoyote alafu ile kwenda kuongea kwenye TV ilimgalimu zaidi manake yeye hakuwa msemaji wa serikali ila alifanya kwa mapenzi mema ya nchiUkifuatilia hii sakata utagundua col.eddy kapend ndio kiunganishi cha kuuawa kabila lola
Anselme Masasuwengi walionewa, Kabila alipokufa watu walikamatwa hovyo sana, Tshisekedi hajakurupuka lazima ana sababu zake
hata hivyo inaaminika sababu za Kabila kuuwawa ni kitendo chake cha kumuua mmoja wa watu wake wa karibu ambaye ndiye aliwa train hao kina “kadogos” ambao walikuwa ndio walinzi wa Rais (jina la huyo jamaa nimelisahau)
Siyo Rahisi... Ukumbuke Yule alikua ADC wa Kabila pia alikua binamu yake...Kosa lake lilikua Kumpiga risasi Racheed akafa...Ukifuatilia hii sakata utagundua col.eddy kapend ndio kiunganishi cha kuuawa kabila lola
Hivi Kabila anajiskiaje na ana mikakati gani saiv? Atarejea tena Enzini?Kipindi Fulani niliandika humu RDC inachezwa Chess na sio Draft
Felix anachanga karata zake vzr na kwa umakini mno
Mpk sasa Felix yuko katika mstari sahihi
Kwanini kaikimbia Kinshasa?JKK akubali tu matokeo ,hana Nguvu tena ya kurudi Kinshasa km President wa RDC
Hata ajipange vipi hapo Katanga