Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,363
- 15,099
Hutokea Dunia nzima, CIA huweka maraisi kwa ajili ya magendo yao na pia humuondoa baada ya kukamilisha na kutomuhitaji tena, mara nyingi CIA hufanya magendo ya drugs, kutakatisha fedha mpaka uchukuaji wa rasilimali kama gold, rare earth minerals n.k.
Mfano Mobutu, Savimbi, Gadafi, Museveni, Kagame & Co. just wait and see, unavyoingia ndivyo utakavyotoka!
Mfano Mobutu, Savimbi, Gadafi, Museveni, Kagame & Co. just wait and see, unavyoingia ndivyo utakavyotoka!
