Rais wa brazil apongeza wananchi kwa maandamano nchini kwake,,,,,!!

Olaigwanani lang

JF-Expert Member
Apr 26, 2012
541
175
Rais wa Brazil Lulada Silva amepongeza maandamano yanayoendeleanchini kwake na kusema wananchi kufanya hivyo wanaimarisha utawala bora nademokrasia wa nchi pamoja na serikali yake na kuielekeza serikali katika njiasahihi na serikali kujua nini kinawasibu wananchi
Source:Deutsche Welle Radio
Jee hili linatoa somo gani kwa viongozi wetu hapa wanapokandiamaandamano ya wananchi huku wakiwa sheria inayoongoza matukio kama haya ni waowenyewe wameidhinisha,,,,,
 
Back
Top Bottom