chadema kote
Senior Member
- Feb 17, 2014
- 177
- 25
Kweli ccm mnakufa kifo cha mende hata aibu hamna mmehamua kubaka sheria
CCM imekuwa kama Mbwa mwenye kichaa! Wanabweka hovyo kwa hofu ya kuuawa! They are deadly moving body!
Wewe ndio unachekesha kumpiga mzee warioba anamiaka zaidi ya bibi yako.na famu yake ndio hiyo inakutafuna sasa.Hakika unachekesha sana.myaani Rais ahangaike na masuala ya uchaguzi wa vitongoji? Hahahahahaaaaaaa!
Kaka Chabruma, watakemea vipi tabia hiyo ilhali wanaofanya fujo wanatumwa na viongozi wakuu wa chadema? Chama kikiongozwa na DJ Zero Mzinifu usitegemee busara kutamalaki
Hapo mwanaume umechangia Leo eti!unajua SAA nyingine unaweza kua shoga kwa ujinga wako.chadema wanadhurumiwa wewe unaongea upuuziCHADEMA mlipaswa pia kukemea ile tabia ya vijana wenu ya kuwapiga, kuwaua na kuwazuia wasiapishwe wenyeviti walioshinda kwa tiketi ya CCM
Waache tu jamaa kwa matusi huwawezi c uliwasikia walivyomwita mheshimiwa TUMBILI kisa tu alisema ukweli.Fujo yetu ni kudai haki mfano ni hapo kwenye thread wameshida chadema lakini hamtaki waapishwe tukinukisha mtasema chadema watu wa fujo bila kuangalia chanzo..
Kwa maana nyingine rais haguswi na vurugu na vifo vinavyotokea?Hakika unachekesha sana.myaani Rais ahangaike na masuala ya uchaguzi wa vitongoji? Hahahahahaaaaaaa!
Ni mpuuzi tu kama wewe na wapuuzi wenzako ndani ya CHADEMA wanakuwa na mtazamo huuAkili za maccm ni za pre mature kama wewe songoro
Dah! Sina hakika kama wewe ni Mtanzania. Upo low sana kifikra na kilughaHapo mwanaume umechangia Leo eti!unajua SAA nyingine unaweza kua shoga kwa ujinga wako.chadema wanadhurumiwa wewe unaongea upuuzi
Hivi kwenye uchaguzi huu wa serikali za Mitaa CHADEMA mmeshinda kwa asilimia ngapi vile?Wasichojua CCM ni kwamba mambo yaliyofanyika Monduli, Kigogo Fresh B anakoishi Pinda na yanayoendelea Segerea, Mtaa wa Migombani wanakoishi Masaburi na Mahanga (tunajua kuna uvundo wa ufisadi wa kutisha, hawataki zulia lifunuliwe), yaliyotokea kwa Membe, Januari Makamba na Wassira ni kielelezo cha wazi kuwa CCM imechokwa. Wagombea wanaojipigia upatu kwenye urais, hawana hata uwezo wa kushinda mtaani, kijijini au kitongojini.
CCM inasubiri kusaidiwa kusukumwa kaburini.
Hakika unachekesha sana.myaani Rais ahangaike na masuala ya uchaguzi wa vitongoji? Hahahahahaaaaaaa!