thegeniustzda
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 211
- 358
Shule inaitwa Darajani Secondary School, ipo Moshi vijijini, Marangu..
Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!
Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.
Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE
Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!
Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.
Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE