Rais uko wapi kuna wapigaji huku Sekondari ya Darajani, Moshi..

Rais uko wapi kuna wapigaji huku Sekondari ya Darajani, Moshi..

Mleta post wewe ni Muongo, Fafanua kinaga ubaga, hiyo hela mnapo obwa mnaambiwa ni ya nini? Unajua isikje kua ni michango wa chakula chako unapo kua shuleni, harafu unakuja kuchafua uongozi wa shule,
Kila Fedha inakua na maelezo, ili tufatilie hii issues eleza ni michango ya nini, then utaona Matokeo ya post yako hii ndani ya wiki hii.
Kiuhalisia Elimu bure haitekelezi kwa 100%
Kwahyo kutoa 150 kwa ajili ya chakula cha mtoto wako mwaka mzima umeona ni pesa nyingi sana!

Kwani hapo jirani hakuna shule jirani ambayo haina chakula ukamhamishia mwanao huko?

Halafu nina wasiwasi kama ni mchagga wa ukweli wewe!
Wapenda vya bure na wavivu wa kufikiri
 
Kiuhal

Kiuhalisia Elimu bure haitekelezi kwa 100

Wapenda vya bure ni wavivu wa kufikiri
Toa maelezo vzr, we siunataka tatizo lishughulikiwe?
Toa maelezo ya namna gani hiyo michango mnavyo ombwa, tofauti na hapo wewe ni Muongo.
 
Toa maelezo vzr, we siunataka tatizo lishughulikiwe?
Toa maelezo ya namna gani hiyo michango mnavyo ombwa, tofauti na hapo wewe ni Muongo.
Kaeni na Wadau wa Elimu ''Wazazi,Walimu wa Shule ambapo wewe kijana wako anasoma Pamoja na Ngazi zingine za Elimu'' Siyo Matamko 'We Dot Run away From Problems instead Solve Them'
 
Wazazi woote wenye wanafunzi kwenye hiyo shule akili zenu ni FUPI narudia tena akili zenu ni Fupi tena sana..
Kwa hali hiyo hata mkinyimwa unyumba na wake zenu mtakuja kuomba msaada humu..
 
Wazazi woote wenye wanafunzi kwenye hiyo shule akili zenu ni FUPI narudia tena akili zenu ni Fupi tena sana..
Kwa hali hiyo hata mkinyimwa unyumba na wake zenu mtakuja kuomba msaada humu..
Wanashindwa kutatua Matatizo Ya Shuleni ina Maana Hata Nyumbani wameshindwa
 
Shule inaitwa Darajani Secondary School, ipo Moshi vijijini, Marangu..

Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!

Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.

Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE
Mgurugenzi ilipo shule hiyo anafanya nini? Mbona mambo mengine anayaweza hata mwenyekiti wa kijiji?
 
Shule inaitwa Darajani Secondary School, ipo Moshi vijijini, Marangu..

Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!

Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.

Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE
Hilo halimuhitaji raisi nenda serikali ya mtaa au kwa mtendaji inatosha. Msimchose mwalimu wangu wa nidhamu JPM
 
Shule inaitwa Darajani Secondary School, ipo Moshi vijijini, Marangu..

Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!

Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.

Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE
KAMA UNAONA ELIMU NI MZIGO, BASI JARIBU UJINGA
 
Kwenye orodha ya mtihani wa form four iko ya ngapi mkuu au ndio kamata mkia?
 
Hii elimu bure ni majanga kwa wanafunzi wa sec. za kata acheni ujinga! Akili za kuambiwa changanya na zako. sisi shule yetu tumeamua watoto wetu shuleni hawapikiwi tena, tumekodisha nyumba jirani chakula kinapikiwa hapo saa 7 wanakwenda kula wanarudi darasani. mzazi asiyechangia motto wake hali na masomo ni hadi saa 11. walimu nao wana chakula chao special na 'motisha' zao. shule yetu hata taarifa za hivi punde za form 4 tumepata hivi:
div. one 4
div two 23
div three 29
div four 8
div zero nill
 
Acha ushamba kwa mwaka nyumbani kwenu unatumia sh.ngapi kwa msosi wa mchana tu. Piga maths au nayo ni F. Piga kitabu acha kulalama huko ni uchagani wanajua wanafanya nini. Unafikiri hizo A zinakuja tu kutoka hewani.
 
Mwanao yupo sekondari unashindwa kumlipia 150,000 kwa mwaka ulimzaa wa nini?
 
Shule inaitwa Darajani Secondary School, ipo Moshi vijijini, Marangu..

Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!

Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.

Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE
Laki moja na nusu ni ya nin!??
Nyosha maelezo na utoe taarifa iliyokamilika ili usaidiwe
 
Shule inaitwa Darajani Secondary School, ipo Moshi vijijini, Marangu..

Jamani huu ni wizi kweli kweli WAZAZI tunalipia laki na hamsini halafu shule nzima wapo 1,000 piga hesabu kwa laki na hamsini mara 1000; sasa ni elimu bure au elimu pesa? Na hii ni shule ya kata na Mheshimiwa Raisi alisema kuwa elimu ni bure!

Mkuu wa hii shule afuatiliwe. Watu wa vijijini tunaliwa sana then wanatulazimisha usipolipa unaitiwa mgambo aje kukukamata.

Jamani hii ni halali? Sambaza imfikie mheshimiwa Rais.. KIRIBIA MWANANGU ATARUDISHWA NYUMBANI TUSAIDIE

unataka. wenzio wafukuzwe kazi
 
Wachaga huwa hawalalamiki kuchangia elimu. Umehamia Marangu kutoka wapi wewe
 
Back
Top Bottom