Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Naona Maandalizi ya Kumtengenezea Kisiwa Rais ajaye Waziri Hussein Mwinyi yameshaanza hivyo na Yeye akiapishwa tu mwakani November aweze Kuendelea pale waliposhia Watangulizi wake.
Nasikia eti pia kuna Mbarawa kapendekezwa