johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Rais wa Zanzibar Dr Shein kwa mujibu wa sheria na mamlaka aliyonayo ameutangaza mji wa Zanzibar kuwa Jiji.
Hivyo kuanzia sasa mji wa Zanzibar unajulikana kama Zanzibar City.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hivyo kuanzia sasa mji wa Zanzibar unajulikana kama Zanzibar City.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!