Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,387
- 9,755
Kwahiyo Shein amevunja mzizi wa Fitina wa Zanzibar ni nchi au sio Nchi... Jibu Zanzibar ni Jiji tu... I hope Wazenji wataacha mijadala....
Navyojua Kuna visiwa viwili Unguja na Pemba ndivyo vinavyounda neno Zanzibar so Shein angesema Unguja town ndio City Unguja Magharibi n.k sio kuihusisha na Pemba
Navyojua Kuna visiwa viwili Unguja na Pemba ndivyo vinavyounda neno Zanzibar so Shein angesema Unguja town ndio City Unguja Magharibi n.k sio kuihusisha na Pemba