Sikujiunga jf kwa kigezo cha dini. Hainihusu hiyo inakuhusu mwenyewe. Acha udini. Rais ni wa Watanzania wote, wapagani, wabudha, wahindu, WAKRISTO waislam nk
Wewe jamaa, kagua comments zangu juu ya jambo hili kama umeona nashibikia tetesi hizi. Ni bora ukajiepusha na udini ulioanza kuutamka mwenyewe. Waasisi wa Taifa letu wangetuongoza kwa akili kama zako tungechinjana balaa. Hoja ya msingi umeiacha kabisa umedandia dini. Msimzushie Kiongozi wa nchi mabalaa, kama sheria inaruhusu mshughulikiwe ipasavyo.
Wewe jamaa, kagua comments zangu juu ya jambo hili kama umeona nashibikia tetesi hizi. Ni bora ukajiepusha na udini ulioanza kuutamka mwenyewe. Waasisi wa Taifa letu wangetuongoza kwa akili kama zako tungechinjana balaa. Hoja ya msingi umeiacha kabisa umedandia dini. Msimzushie Kiongozi wa nchi mabalaa, kama sheria inaruhusu mshughulikiwe ipasavyo.
Je Unafikiri hiyo itatenda haki. ?!
Je haitaonekana kama udhalimu. ?!
Je haitakuwa ni chukizo machoni pa Mwenyezi Mungu. ?’
Kwani hamjajifunza tu ?
Maana kuna jamaa aliwahi kufanya hivyo na je Mungu akaingiliaje ??
Je yuko wapi sasa ??
Mkuu umekazana sana na udini hivi hujiskii kukosa amani kwa maneno yako?.Au kuna wakristo waliowahi kukuumiza sana ktk maisha yako kwa kigezo cha imani yao!?