mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,049
- 4,904
“Katika kipindi cha miezi sita cha urais wangu nilijaribu kuwa mkimya na kusoma wizara zote katika kipindi hicho nao walikuwa wakinisoma pia na kati yao wakachukulia ukimya na utulivu wangu kama udhaifu na wengine waliuchukulia kama njia ya kuonyesha uwezo wao,”