Rais Samia vipi akiwa kwenye 18 za Stephen Sucker kipindi cha Hard Talk?

Ikitokea la kutokea Rais Samia akaingia himaya ya BBC kipindi Cha maswali magumu "hard talk", unadhani katika kipengere Cha demokrasia majibu yatakuwaje?

Stephen Sucker anavyojua kubana. Mara anajibu hivi halafu analetewa evidence na kutakiwa ajibu.

Mara anarejeshwa kwenye kauli na kupewa baadhi ya hotuba zake na kuonyeshwa jinsi Nyakoro huku home anavyowatuma polisi kuziba midomo upinzani.

Mwisho anaulizwa yeye na mahakama Nani alitoa hukumu kwa wenzake na Mbowe katika kesi Yao ya ugaidi.

Picha inahitimishwa kwa kumpongeza Kama rais mwanamke na kuulizwa Kama atagombea Tena.

Tuombe hii itokee.

Hongera SSH kwa mualiko huu. Ila jipange na maswali ya diaspora pia.

View attachment 1944181
Unataka tushushe bendela nusu mlingoti mwaka huu tena?
 
Mama hajui kuongea,amejaa vijembevijembe tu vya kizanzibar,hard talk inahitaji uwe talented na vitu viwe vipo karibukaribu kichwan
 
Huyo Mwaandishi alimuuliza maswali magumu waziri wa ulinzi wa Ethiopia mpaka aibu niliona mimi maana anamwambia wewe ulitoa kauli hii kwenye mkutano fulani wa tarehe fulani ambao ulichochea Vita huko kaskazini na ulikataza misaada isielekezwe huko na pia uliishawishi Serikali yako kuondoa mtandao wa internet kule daah yule Waziri alijigongagonga kama wale Njagu na Kibatala kisutu...
 
Ikitokea la kutokea Rais Samia akaingia himaya ya BBC kipindi Cha maswali magumu "hard talk", unadhani katika kipengere Cha demokrasia majibu yatakuwaje?

Stephen Sucker anavyojua kubana. Mara anajibu hivi halafu analetewa evidence na kutakiwa ajibu.

Mara anarejeshwa kwenye kauli na kupewa baadhi ya hotuba zake na kuonyeshwa jinsi Nyakoro huku home anavyowatuma polisi kuziba midomo upinzani.

Mwisho anaulizwa yeye na mahakama Nani alitoa hukumu kwa wenzake na Mbowe katika kesi Yao ya ugaidi.

Picha inahitimishwa kwa kumpongeza Kama rais mwanamke na kuulizwa Kama atagombea Tena.

Tuombe hii itokee.

Hongera SSH kwa mualiko huu. Ila jipange na maswali ya diaspora pia.

View attachment 1944181
I like the guy,... strictly intelligent, very intelligent. Huyu anaweza kuwa ni undercover agent wa AIC, (if you can reverse these letters)
 
Ikitokea la kutokea Rais Samia akaingia himaya ya BBC kipindi Cha maswali magumu "hard talk", unadhani katika kipengere Cha demokrasia majibu yatakuwaje?

Stephen Sucker anavyojua kubana. Mara anajibu hivi halafu analetewa evidence na kutakiwa ajibu.

Mara anarejeshwa kwenye kauli na kupewa baadhi ya hotuba zake na kuonyeshwa jinsi Nyakoro huku home anavyowatuma polisi kuziba midomo upinzani.

Mwisho anaulizwa yeye na mahakama Nani alitoa hukumu kwa wenzake na Mbowe katika kesi Yao ya ugaidi.

Picha inahitimishwa kwa kumpongeza Kama rais mwanamke na kuulizwa Kama atagombea Tena.

Tuombe hii itokee.

Hongera SSH kwa mualiko huu. Ila jipange na maswali ya diaspora pia.

View attachment 1944181
Kwi Kwi Kwi
 
Ikitokea la kutokea Rais Samia akaingia himaya ya BBC kipindi Cha maswali magumu "hard talk", unadhani katika kipengere Cha demokrasia majibu yatakuwaje?

Stephen Sucker anavyojua kubana. Mara anajibu hivi halafu analetewa evidence na kutakiwa ajibu.

Mara anarejeshwa kwenye kauli na kupewa baadhi ya hotuba zake na kuonyeshwa jinsi Nyakoro huku home anavyowatuma polisi kuziba midomo upinzani.

Mwisho anaulizwa yeye na mahakama Nani alitoa hukumu kwa wenzake na Mbowe katika kesi Yao ya ugaidi.

Picha inahitimishwa kwa kumpongeza Kama rais mwanamke na kuulizwa Kama atagombea Tena.

Tuombe hii itokee.

Hongera SSH kwa mualiko huu. Ila jipange na maswali ya diaspora pia.

View attachment 1944181
Utaratibu ufanyike kuomba kipindi hicho na nguli wa habari duniani; kisha ahojiwe yafuatayo
1. Anatarajia kuchukua hatua gani kama mkuu wa nchi kushughulikia malalamiko ya shambulio dhidi ya TAL, kupotea kwa baadhi ya wanaharakati na waandishi wa habari Tanzania kama Azori, Mawazo, Ben Saanane ili kubaini nani wahusika na kuchukuliwa hatua za kisheria?
2. Kwanini JPM alipougua haikutangazwa kwa umma kwa wapiga kura wake na tetezi zilizojitokeza zimeachwa bila kupatiwa majibu yaliyo sahihi wakati yeye pia ndiye alikuwa mshauri na msaidizi mkuu wa rais?
3. Hivi Tanzania huwa inafuata sera gani za kitaifa ambazo mtu yeyote anayechaguliwa kushika madaraka ya nchi angetarajiwa kusimamia na kutekeleza?
4. Je, JPM alikufa kutokana na ugonjwa wa UVIKO-19 kama inavyoelenzwa au ugonjwa gani ambao ulitokea ghafla bila jitihada za kutosha kuzichukua huko wananchi wake wakijulishwa kinachoendelea mapema?
5. Je, mwanaharakati Tundu Lissu, Godbless Lema, Mange Kimambi, Evarist Chahali, Maria Tsehai Sarungi, Thobias Marandu, Kigogo2014 ni wakimbizi wa kisiasa au haki jinai?
6. Tanzania inatumiaje rasirimali zake kuwaletea wananchi wake maendeleo bila kutegemea misaada na mikopo kutoka taasisi za fedha, nchi za kigeni au wafanyabiashara wakubwa endapo watafurahi kutoingiliwa biashara zao?
7. Mpaka sasa amewafanyia nini watanzania wa hali ya chini tangu achukue uongozi wa kudra ya Mungu na matakwa ya Katiba ya nchi?
 
Ikitokea la kutokea Rais Samia akaingia himaya ya BBC kipindi Cha maswali magumu "hard talk", unadhani katika kipengere Cha demokrasia majibu yatakuwaje?

Stephen Sucker anavyojua kubana. Mara anajibu hivi halafu analetewa evidence na kutakiwa ajibu.

Mara anarejeshwa kwenye kauli na kupewa baadhi ya hotuba zake na kuonyeshwa jinsi Nyakoro huku home anavyowatuma polisi kuziba midomo upinzani.

Mwisho anaulizwa yeye na mahakama Nani alitoa hukumu kwa wenzake na Mbowe katika kesi Yao ya ugaidi.

Picha inahitimishwa kwa kumpongeza Kama rais mwanamke na kuulizwa Kama atagombea Tena.

Tuombe hii itokee.

Hongera SSH kwa mualiko huu. Ila jipange na maswali ya diaspora pia.

View attachment 1944181
Duh ilo jina lina kasheshe kwa kweli.
 
Kikeke alimpoozea hakumuuliza maswali kwa kutumia rejea hata katiba hakurejea. Pamoja na kwamba Kikeke alimfanyia poa lakini chifu akaharibu mwenyewe kwa kusema uongo
Ya Kikeke hayakuwa mahojiano bali mazungumzo ya kuinua haiba kidiplomasia.
 
Jina ni Sackur sio Sucker
Ni kweli mkuu. Lakini huyu Sackur mbona cha mtoto! Alikuwepo mwanzilishi wake,Tim Sebastian ana sauti ya puani. king'ang'anizi wa hoja mpaka ijibiwe au ukubali mwongo! Watu na umaarufu wao walikuwa wanaikimbia interview. Hao waandishi wa habari siyo kiwango cha viongozi wetu hapa Bongo, maana lazima mhusika uwe una msimamo kwanza. Siyo unasikia! Mwenye kuwaweza alituacha mwaka 1999. Hata Henry Kissinger alikubali kuwa Nyerere ni jabali!
 
Kwa Tanzania nadhani ni watu wawili tu wamewahi kupata fursa ya kuhojiana na jamaa huyu....

Rais wa awamu ya tatu, hayati Benjamin William Mkapa [CCM] na Tundu Antipas Lissu [CHADEMA]...

Moja ya sifa ya kumwezesha yoyote kukubali kukalia kiti cha mahojiano na kuwa USO kwa USO na mtangazaji nguli na mjuvi wa mambo mengi wa kipindi hiki ni;

å Ujasiri
å Ukweli [sio uongo uongo na propaganda za ki - CCM]
å Akili inayofikiri na kufanya kazi haraka [sio kichwa chenye akili nzito na ya kukaririshwa mambo ya uongo uongo kama alivyokuwa Magufuli na sasa Samia Suluhu Hassan]
å National & International exposure ktk masuala ya kiuchumi & kidiplomasia [Hili kwa vipimo vyote, Rais Samia Suluhu ni mweupe na she knows very little...]
å Uwezo wa ku - articulate kwa usahihi na kwa ulimi mwepesi lugha ya Kiingereza kwa kutumia akili inayofikiri na kuelewa kwa kasi kila kitu [Rais Samia Suluhu anaweza kusoma kwa ufasaha hotuba iliyoandikwa kwa lugha ya kiingereza lakini kwa maswali ya papo kwa papo tena toka katika maeneo na engo yoyote, I am afraid kuwa huko CCM sioni mtu wa kukalia kiti kile na kufanya vizuri. Nina hakika mtu anaweza kurusha ngumi..!]
å All in all, ili mtu akubali mwaliko lazima awe mtu aliyekomaa kwelikweli, mwenye maarifa na anayesoma kila siku na kuelewa namna siasa za dunia zilikotoka na zilivyo kwa sasa maana hii ndiyo sifa kuu ya mtangazaji/muongozaji wa kipindi kile na ndiyo maana kikapewa jina la HARD TALK...!!
 
Ndani ya Tanzania ni tundu lissu pekee ake aliweza kukutana uso kwa uso jiji la London na Stephen sucker in hard talk, tundu lissu alipangua hoja zote
 
Back
Top Bottom