Lorenzo Samike
JF-Expert Member
- Jun 18, 2021
- 1,188
- 1,912
Hakuna mahali popote katika historia ya nchi hii, kabla ya ukoloni, kwamba palikuwa na machifu.
Machifu ni watawala wa mkoloni waliosimikwa kwa ajili ya kazi ya mkoloni. Divide and Rule tactics. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.
Neno lenyewe ni la Kiingereza "CHEIF".
Baada ya ukoloni, machifu hawa walipotea. Tukawa na serikali za kidemokrasia maana hawakuhitajika tena.
Kwahiyo, uchifu haukuwa uongozi wa kimila, ni uongozi wa kikoloni. Tuweke rekodi sawa.
Hawa walioibuliwa na Samia wanaoitwa "machifu", kiuhalisia ni makundi ya viongozi wa WACHAWI nchini ambao wanamsimika Hangaya kama mkuu wao. Hii ni POWER TRANSFER katika mamlaka za kichawi na za kishetani. Ni protocal.
Ni vizuri wananchi wakaambiwa ukweli. Kwamba nchi hii imekabidhiwa kwa MIUNGU, na kwamba, hawa wanaoitwa machifu ni makuhani katika madhabahu za Miungu hiyo.
Mmemuacha MUNGU mkajikabidhi kwa mizimu na mashetani. Mwisho wake ni kuangamia tu. Shetani hana ndugu wala rafiki.
Mrudieni MUNGU, mtubu na muirudishe nchi kwenye mstari wake. Nchi hii sio milki ya mashetani, ni milki ya yule muumbaji wa mbingu na ardhi.
MUNGU wetu ni MUNGU mwenye wivu, huwaangamiza na kuwashusha wote wajiinuao juu yake.
Machifu ni watawala wa mkoloni waliosimikwa kwa ajili ya kazi ya mkoloni. Divide and Rule tactics. Hawa ndio waliohusika kuwauza wenzao utumwani.
Neno lenyewe ni la Kiingereza "CHEIF".
Baada ya ukoloni, machifu hawa walipotea. Tukawa na serikali za kidemokrasia maana hawakuhitajika tena.
Kwahiyo, uchifu haukuwa uongozi wa kimila, ni uongozi wa kikoloni. Tuweke rekodi sawa.
Hawa walioibuliwa na Samia wanaoitwa "machifu", kiuhalisia ni makundi ya viongozi wa WACHAWI nchini ambao wanamsimika Hangaya kama mkuu wao. Hii ni POWER TRANSFER katika mamlaka za kichawi na za kishetani. Ni protocal.
Ni vizuri wananchi wakaambiwa ukweli. Kwamba nchi hii imekabidhiwa kwa MIUNGU, na kwamba, hawa wanaoitwa machifu ni makuhani katika madhabahu za Miungu hiyo.
Mmemuacha MUNGU mkajikabidhi kwa mizimu na mashetani. Mwisho wake ni kuangamia tu. Shetani hana ndugu wala rafiki.
Mrudieni MUNGU, mtubu na muirudishe nchi kwenye mstari wake. Nchi hii sio milki ya mashetani, ni milki ya yule muumbaji wa mbingu na ardhi.
MUNGU wetu ni MUNGU mwenye wivu, huwaangamiza na kuwashusha wote wajiinuao juu yake.