Rais Samia Unadanganywa!

ni muhimu na vizuri sana ndugu Rais na kipenzi cha waTanzania wote, comrade Dr.Samia Suluhu Hassan

ni vizuri zaid ukawabana mbavu hapo hapo, shikilia hapo hapo. wanaanza kusema pole pole. hapo ni kukaza tu kidogo wanaelekea kufunguka mh.Rais..

usipepese macho, usimuonee aibu wala haya Taifa au mtu yeyote yule anaeleta kimbelembele cha kuchezea Umoja ,amani na utulivu wa wananchi na waTanzania wote. Tunakwenda vizuri sana 🐒
 
Taarifa zako huwa ni za kuaminika Sanaaa

Wenye mamlaka wamekusikia.
 
Lete ndono hizo
 
Hiivi unawezaje kuwa na akili timamu halafu ukawa mwanachama wa CCM. Si bora ujikalie tu bila kuwa na chama chochote!? Unajua hata nyinyi wanachama wa CCM mmetapakaa hizi damu za watanzania wasio na hatia kama viongozi wenu? Hivi mnajisikiaje uhai wa wapinzani/wanaokosoa serikali ukitolewa? Ni raha sana?
 
Na mtu leo kaniambia kwamba inawezekana mama halikuwa hajui nn kinatendeka kwa wanachama wa cdm lkn na mimi nikawaza kwa kina
labda mama alikuwa hajui au halijua lkn hakutarajia itafikia hatua hii

chamsingi polisi wajitafakari na watambue wao ni walinzi wa usalama kwa raia na kuzuia hualifu kwahyo wasitumike na chama kwa lengo la kisiasa

Taarifa zako huwa ni za kuaminika Sanaaa

Wenye mamlaka wamekusikia.
 
Kweli mkuu.
 
Toka utudanganye kuwa Makonda ni mahututi sikuamini tena!
 
Nafikiri maana yake ni kuwa wanamdanganya na kumtisha ili akubaliane nao kuwa njia pekee ya kudeal na hao wabaya wake ni kuwateka na kuwaua.
Yeah, nafikiri hata kwa kesi ya Ali Kibao walimdanganya kwamba anapanga uhaini, na wakamwambia kuwa njia pekee ni kumuua.
 
Mkuu britanica!

Hayafanyiki Kwa bahati mbaya hayo!

Kuna mpangokazi kamili was hayo kufanyika!!

Kama ni mislead bas on purpose!!

Bahati mbaya sana "uwezo wa kuchakata hii michezo ya kijasusi akiwa na mumewe ambaye ndio mtu pekee wa karibu kwake utakua una dosari"

Huwezi SEMA vile kirahisi!
 
Samia anajua kuwa yote ni uongo LAKINI KWA VILE YANAMSAIDIA KU CONSOLIDATE POWER, AGRESSIVE SUPREME OF POWER, ANAYAKUBALI AKIJUA FIKA KUWA NI UONGO MTUPU
Sure
 
Ukiona mtu anakudanganya huku ww ni mtu mzima jua amekudharau...amekufanya mjinga!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…