Rais Samia umeanza kutuangusha kabla ya siku 100 za uongozi wako

Omary - Msamalia

JF-Expert Member
Jan 19, 2020
2,079
4,511
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
 
Umeongea kwa Chuki sana hadi umeharibu mtiririko wako

Hivi unadhani hao wazungu mnaowakubalia kuwekeza sijui Barrick sijui Anglogold wanakujaga na mitaji? Kwa taarifa yako wanakujaga na vichwa vyao tu pesa wanaingia bank kukopa wakishapata mgodi
 
Mkuu wewe ni mtu hatari sana! Hakuna Mkenya mwenye mtaji wa kuwekeza kwenye madini? Yaani unajua mitaji ya wakenya wooote?

Mbona Mzee mengi aliwekeza kwenye madini? Au hakuna tajiri wa mtaji kama wa Mengi Kenya?
Nimesema Tanzania ina Mabilionea wengi kuliko Kenya (Dollar Millionaires wengi), Kwa nini hawa tusiwasisitize.

Unatakiwa uwe na mtaji wa zaidi ya TSH Billioni 500 ndio uhesabiwe wewe ni Mwekezaji mkubwa wa Madini
 
Nimesema Tanzania ina Mabilionea wengi kuliko Kenya (Dollar Millionaires wengi), Kwa nini hawa tusiwasisitize.

Unatakiwa uwe na mtaji wa zaidi ya TSH Billioni 500 ndio uhesabiwe wewe ni Mwekezaji mkubwa wa Madini
Wapi wameandika hii kauli ya "unatakiwa uwe na mtaji wa Zaidi ya Bill 500"?

Samahani kuuliza Mkuu, Mimi ni Layman.
 
Nimesema Tanzania ina Mabilionea wengi kuliko Kenya (Dollar Millionaires wengi), Kwa nini hawa tusiwasisitize.

Unatakiwa uwe na mtaji wa zaidi ya TSH Billioni 500 ndio uhesabiwe wewe ni Mwekezaji mkubwa wa Madini
Wawekezaji wote wakishapata mgodi wanaingia bank kukopa usipotoshe watu mkuu. Tena sometimes kama hujui wanakopa bank za humu humu Tz
 
Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?
Kwa hiyo ulitaka aseme wakenya wasije kuwekeza kwa kuwa hawana uwezo ?

Yani mimi nikikuambia karibu uje ununue magari kwangu kwa kuwa huna uwezo wa kununua gari utaona nimekosea sana kusema karibu ati kwa kuwa uwezo huna ?

Mama amesema yuko sahihi mlango kaufungua kwa mwenye uwezo atakuja kuwekeza,
Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?
Hapa unataka kusema kuwa mama amewakataza matajiri wa tanzania wasiwekeze kwenye madini kwa kuwa amesema kenya waje kuwekeza ?

Kama hujakusudia kusema hivyo naomba niambie umekusudia nini ?
Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Kwa maana wakenya wakija tanzania wasipate ardhi kwa sababu kuna familia chache kule kenya zimehodhi ardhi ?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,
Sasa hiyo 20% iliyobaki kama ndio ambayo inaweza kuja tanzania kunufaika na ardhi wasikaribishwe ?

Tuwanyime hawa 20% wanaoweza kwa sababu ya 80% wasiojiweza ?


 
Screenshot_20210505-173310.jpg
 
Sasa wakija bila hela tutawarudisha kwao, Mimi nikikukaribisha kwangu ukija utafata vigezo na mashariti yangu sasa hapo kuna shida gani? Kuwakaribisha kuwekeza na wakiwa wanajua ni hela itakayohitajika? Nakumbuka hata malls zilikuwa zinachangamshwa na uwepo wao wa kufungua supermarket na ajira sasa hivi malls zimepoa kweli sasa Kama kwa vitu vidogo Kama supermarket hatuna mitaji ndo maana mama Samia anawaita waje wawekeze ila vigezo na mashariti vitafuatwa hapo jukwaani siyo sehemu ya kuhutubia vigezo wakati watakao hitaji kuwekeza watapewa miongozo na mashariti yakufuatwa.
 
Asee, kama hakutakiwa kukaribisha wakenya wanaotaka kuwekeza ktk madini kwa sababu tz inamabilionea wengi kuliko Kenya,
Hakutakiwa pia kusema kwamba tz tuna aridhi ya kutosha,
Sasa yeye alitakiwa asemeje sasa?
Nionavyo Mimi neno 'tunawakaribisha' pamoja na mambo mengine mengi lisingeweza kukwepeka kwa pande zote mbili.
Lakini pia kama moja ya agenda ilikuwa ni 'mazingira ya uwekezaji' basi suala la kusema tunayo aridhi ya kutosha lisingeweza kukwepeka pia.
Mimi nadhani kabla mama hajafika huko ungeweka Uzi wa mapendekezo yako kwamba nini kikazungumzwe na nini kisizungumzwe kama walivyofanya wengine, japo hayo yangebaki kuwa maoni yako tu.
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Mleta mada wewe ni mpuuzi usiyepaswa kusikilizwa! Nyie ni washamba mliompoteza Hayati Magufuli akajiona ana maarifa ya kuongoza Nchi kuliko watangulizi wake akiwemo hadi Mwl.Nyerere!
Mama anampoteza/anamfunika Magufuli asubuhi na mapema sababu ya kulewa sifa za wajinga wachache wasioona mbele! Watanzania sasa wamepata Rais anayejua Dunia inavyo operate.
Sisi " wasukuma" sasa tuache ushamba na kujimwambafy tutulie tuache watu wenye maarifa waongoze Tanzania.
Wivu na husuda kwa Mama Samia hakutatusaidia na chuki zetu.
"Wasukuma" tulipewa Nchi tukaongoza kwa jeuri,ukatili,majivuno na uchoyo! sasa tukae kimya na tujue itachukua miongo mingi sana kwa "_msukuma" mwingine kuongoza Tanzania, ukweli mchungu sana huo.
Hongera sana Mama Samia umeanza vizuri na uko juu sana!!!
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Wewe fanya utafiti utaona matajiri wa kenya,usiropke
 
Nimesikiliza Hotuba ya mama huko Kenya naweza kusema.

Mama sio mzuri wa hoja nzito, ni mwepesi wa Ku Give In.

Anasema Wakenya waje Tanazania kuwekeza kwenye madini, Mkenya Gani anamtaji wa kuja kuwekeza kwenye Madini, Kama Mwekezaji mkubwa wa madini?

Mama anadanganywa na watu wake wa Karibu kwa udhaifu wake wa ndiyo ndiyo, Hivi ina maana mama hasomagi Takwimu za Dunia kuwa Tanzania kuna Mabilionea(USD Millionaires) wengi kuliko Kenya?

Mama anasema Tanzania ina ardhi Kubwa ana wakaribisha Wakenya, Je anajua uhaba wa Ardhi Kenya ni kwa sababu ya familia chache zenye nguvu kisiasa kuhodhi ardhi?
Mama anajua kuwa Wakenya zaidi ya asilimia 80 hawana ndoto wala hawataweza kabisa kujenga wala kumiliki Nyumba zao kipindi chote cha maisha yao?,

Mama anasahau hoja kuwa Tanzania ina watu wengi (Soko Kubwa), Huduma za Kijamii na mahitaji yote ya msingi kufanya biashara ni conducive Tanzania kuliko Kenya?

Mana anasahau au aliona aibu kusema mazingira mazuri yaliyopo kenya kwa wafanya biashara ni urahisi wao kutoa Rushwa kuliko Tanzania?

Mzee Mangula tunaomba Mlisisitize Bunge limchunge huyu Mama, na 2025 mfanye uchaguzi upya.
Tuletee list ya matajiri 50 wa east Africa tuone wakenya na watanzania wapo wangapi?

Mimi nakushauri Fanya utafiti kama wakina Ridhiwani waliweza kuwekeza kwenye madini

Wakina Hassan joho watashindwa.?

Fanya utafiti wa kutosha kama hauna utafiti nyamaza.
 
Back
Top Bottom