jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,858
- 7,775
Kwa hiyo unamaanisha,tuache wapigaji wapige watakavyo au siyo!!??Usichokujua chama kimerejeshwa mikononi mwao. Maana yake ni kwamba wana nguvu kuliko wale washamba toka ile Kanda pendwa...
Kwa hiyo unamaanisha,tuache wapigaji wapige watakavyo au siyo!!??Usichokujua chama kimerejeshwa mikononi mwao. Maana yake ni kwamba wana nguvu kuliko wale washamba toka ile Kanda pendwa...
Tukiamuwa tunaweza unavyosema!!Muda sio mrefu steve mengele atateuliwa kua katibu mkuu ....mashalove nae kua katibu uenezi UWT chama la wasimbe sugu
MAKONDA finisher kile cheo kukaa ndani ya muda mfupi na kamaliza mission,,ile ni kamati ya ufundi sema maboya mnaangalia vyeo tu 2025 itaelewekaUsichokujua chama kimerejeshwa mikononi mwao. Maana yake ni kwamba wana nguvu kuliko wale washamba toka ile Kanda pendwa...
Jikite kwenye hoja ya msingi,ambayo ni ufanyaji kazi bora ndiyo anauzungumzia hapa!!Unapenda kukunwa ee?
Ukiona hivyo wengi wao ni majambazi pia,kama bado kukomaaa ni majambazi chawa🤔Sabaya Jambazi. Mbona mnapenda watu wenye Record za Uhalifu dhidi ya Wananchi wa Tanzania ndio wawe Viongozi wenu?
Yes bado kumrejesha sabaya ole lengai. Huyu kijana mzalendo sana na jasiri kabida kupigania haki na maendeleo ya umma.Rais Samia ulianza kuugusa moyo wangu ulipomrejesha Paul Makonda kazini, na leo tena umeukuna moyo wangu baada ya kumteua kijana mchapakazi Ally Hap...
NonsenseRais Samia ulianza kuugusa moyo wangu ulipomrejesha Paul Makonda kazini, na leo tena umeukuna moyo wangu baada ya kumteua kijana mchapakazi Ally Hapi...
Kumbe walikuwa matapeliRais Samia ulianza kuugusa moyo wangu ulipomrejesha Paul Makonda kazini, na leo tena umeukuna moyo wangu baada ya kumteua kijana mchapakazi Ally Hapi.
Sasa umebakiza kumrudisha ulingoni kijana Lengai Ole Sabaya na moyo wangu utakuwa umeukuna moja kwa moja kabisa Rais Samia.
Paul Makonda, Ally Hapi, Lengai Sabaya ni vijana wa Magufuli na ni wachapakazi kwelikweli lakini walichafuliwa na matapeli Chadema wakishirikiana na wauza madawa ya kulevya na mafisadi ya nchi hii.
Lakini wahenga walishasema muda ni mwalimu mzuri sana na sasa imepita miaka 3 hamna tapeli yoyote aliyeweza kuleta ushahidi kuhusu tuhuma za hao vijana.
Kukunwa pia ni kufanyiwa kazi bora pia. Kasema yeye kakunwa hapo tusitake kubadili maana ya mleta madaJikite kwenye hoja ya msingi,ambayo ni ufanyaji kazi bora ndiyo anauzungumzia hapa!!
Mkuu wewe ndiye umesema kuwa umekunwa, sasa swala la ngono limefikaje hapo?Unawaza ngono tu muda wote
Cyprian MusibaUtampenda tu
Rais Samia ulianza kuugusa moyo wangu ulipomrejesha Paul Makonda kazini, na leo tena umeukuna moyo wangu baada ya kumteua kijana mchapakazi Ally Hapi.
Sasa umebakiza kumrudisha ulingoni kijana Lengai Ole Sabaya na moyo wangu utakuwa umeukuna moja kwa moja kabisa Rais Samia.
Paul Makonda, Ally Hapi, Lengai Sabaya ni vijana wa Magufuli na ni wachapakazi kwelikweli lakini walichafuliwa na matapeli Chadema wakishirikiana na wauza madawa ya kulevya na mafisadi ya nchi hii.
Lakini wahenga walishasema muda ni mwalimu mzuri sana na sasa imepita miaka 3 hamna tapeli yoyote aliyeweza kuleta ushahidi kuhusu tuhuma za hao vijana.
Hivi unatumia kichwa kama kinga ya mvua? Mbona umeandika matapishi?Rais Samia ulianza kuugusa moyo wangu ulipomrejesha Paul Makonda kazini, na leo tena umeukuna moyo wangu baada ya kumteua kijana mchapakazi Ally Hapi.
Sasa umebakiza kumrudisha ulingoni kijana Lengai Ole Sabaya na moyo wangu utakuwa umeukuna moja kwa moja kabisa Rais Samia.
Paul Makonda, Ally Hapi, Lengai Sabaya ni vijana wa Magufuli na ni wachapakazi kwelikweli lakini walichafuliwa na matapeli Chadema wakishirikiana na wauza madawa ya kulevya na mafisadi ya nchi hii.
Lakini wahenga walishasema muda ni mwalimu mzuri sana na sasa imepita miaka 3 hamna tapeli yoyote aliyeweza kuleta ushahidi kuhusu tuhuma za hao vijana.