Rais Samia: Tumekopa Sana ndani ya hii miaka 3 kwa ajili ya Huduma za Jamii sasa tunaenda kupunguza Ukopaji kwa miaka hii 2!

Hata Mimi Namshangaa,yaani uache kukopa kufungua Uchumi wa Wananchi Bali uendelee kuwakamua kwa.makodi na matozo yasiyo na msingi?

Hivi mentality hii ya kuogopa kukopa nani aliwajaza Watanzania wakiwemo viongozi? Yaani Nchi inaogopa kukopa? Huu ni ulemavu wa kifikra.

Hakuna namna Nchi itaendelea bila kukopa.

Tanznaia ni mavumbi na haifikiki Kwa sehemu kubwa harafu hutaki kukopa Ili watu Waendelee kuwa maskini au?

Yaani unakutana kabisa na maskini anashangilia Nchi isikope bila kujua anaeumia Kwa sehemu kubwa ni yeye.Serikali isipokopa manake mzigo wa Kodi ni Kwa Mwananchi.
Tukope tuu, hasa kwenye uzalishaji na miundo mbinu ya umeme na Barabara, ila marufuku mikopo ya kujenga matundu ya vyoo au VX za viongozi wa serikali
 
Tanzania unakila maliasili ,mabwawa ya umeme kama yote, mbuga za wanyama, madini, Milima mirefu mfn Kilimanjaro nk
 
Unakopa Kisha unaowapa watu wanakua kwa urefu wa kamba.

Unakopa halafu Mwigulu anazitumia kuisaidia Yanga.
 
Tukope tuu, hasa kwenye uzalishaji na miundo mbinu ya umeme na Barabara, ila marufuku mikopo ya kujenga matundu ya vyoo au VX za viongozi wa serikali
Naunga mkono hoja.Sijui wanategemea watafunguka uchumi Lini.Hakuna hata Mkoa 1 ukitoa Dar ambao nusu ya Barabara Zina lami.

Umeme wa Viwanda haujafika Mikoani,maji ya uhakika ya kufanya irrigation hayajawekewa miundombinu harafu mtu anasema aache kukopa Ili akamue maskini viheka vya kuunga unga.Hatuwezi kufipa popote.
 
Back
Top Bottom