PostGE2025 Rais Samia tubu, waombe radhi Watanzania wema

PostGE2025 Rais Samia tubu, waombe radhi Watanzania wema

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

ndoto2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2017
Posts
1,463
Reaction score
1,284
1. Mheshimiwa rais leo umetoa hotuba ya kuumiza mno Watanzania wema , hujakemea kwa kauli kali uhalifu, umewapa zawadi majambazi , maharamia , wezi, vibaka kwa kutamka mbele ya vyombo kuwa wasamehewe? kweli ? basi samehe na wabakaji magerezani wa mihemko, naomba tuombe radhi tuliotumia nguvu na damu kulinda maeneo yetu na biashara zetu zisichomwe huku askari wakikimbia kama kuku , mfano ni mtaa wangu wa biashara Uyole walitaka kuvunja crdb na nmb waibe tuliogopa wakimaliza watakuja kwetu tukaanza kuwasambaratisha kwa bunduki kama raia wema hapo hatukuwa na akiba ya risasi tulirisk sana na tulikuwa watatu tu, halafu unawasamehe kweli? RAIS SAMIA KWELI SHIDA NINI KWANI UNATAKA KURA ? SI UMESHAAPISHWA kwa nini unajipendekeza kwa majambazi? batilisha kauli agiza wapigwe risasi tena tangaza na siku ya kuwanyonga tuma ujumbe uhalifu uishe.

2. HIVI baada ya polisi kuanza kuchukua hatua kali mbona waliacha kufanya uhalifu? maana yake ni kwamba walikuwa wanapima kina cha maji, piga risasi tu kila mhuni acha maridhiano na wahalifu onyesha leadership kama amiri jeshi mkuu

3. Watu wenye wivu na mafanikio ya watu wanawashinda raia wema kweli? yaani wafanyabiashara wema wengi wameumizwa huwapi pole unawapa zawadi majambazi kweli? tuombe radhi rais unawavunja moyo vyombo vya ulinzi hawa walioshikwa wataje wenzao na wapigwe risasi wote ujumbe ufike
 
Mmeshazoea kuomba posho kwa kujifanya mna task force ya kuwinda watu kimya kimya.

Rudini kwenye mishahara yenu ya laki ngapi ile sijui… Si ndio kazi mliyochagua?
 
1. Mheshimiwa rais leo umetoa hotuba ya kuumiza mno Watanzania wema , hujakemea kwa kauli kali uhalifu, umewapa zawadi majambazi , maharamia , wezi, vibaka kwa kutamka mbele ya vyombo kuwa wasamehewe? kweli ? basi samehe na wabakaji magerezani wa mihemko, naomba tuombe radhi tuliotumia nguvu na damu kulinda maeneo yetu na biashara zetu zisichomwe huku askari wakikimbia kama kuku , mfano ni mtaa wangu wa biashara Uyole walitaka kuvunja crdb na nmb waibe tuliogopa wakimaliza watakuja kwetu tukaanza kuwasambaratisha kwa bunduki kama raia wema hapo hatukuwa na akiba ya risasi tulirisk sana na tulikuwa watatu tu, halafu unawasamehe kweli? RAIS SAMIA KWELI SHIDA NINI KWANI UNATAKA KURA ? SI UMESHAAPISHWA kwa nini unajipendekeza kwa majambazi? batilisha kauli agiza wapigwe risasi tena tangaza na siku ya kuwanyonga tuma ujumbe uhalifu uishe.

2. HIVI baada ya polisi kuanza kuchukua hatua kali mbona waliacha kufanya uhalifu? maana yake ni kwamba walikuwa wanapima kina cha maji, piga risasi tu kila mhuni acha maridhiano na wahalifu onyesha leadership kama amiri jeshi mkuu

3. Watu wenye wivu na mafanikio ya watu wanawashinda raia wema kweli? yaani wafanyabiashara wema wengi wameumizwa huwapi pole unawapa zawadi majambazi kweli? tuombe radhi rais unawavunja moyo vyombo vya ulinzi hawa walioshikwa wataje wenzao na wapigwe risasi wote ujumbe ufike
Ww na mknd* wa samia hamna tofaut
 
Wanakuona taahira tu, hao wenyewe waliotoa amri wana butwaa, what the fuc.k just happened.

Achana na mshangao wa sehemu kubwa ya senior civil servants wengine ambao hawausiki na maamuzi huko serikalini.

Kuna watu wengi wa kulaumu for starters poor security forces; ni wazi tuna vyombo vya usalama visivyofanya risk assessment on how to deal with uprisings.

Hizi hadithi za waganda and other nonsense don’t hold water. Kuna hadithi moja Tabata kuna vijana walikuwa wanavunja. Huyo aliepiga simu kuita polisi na wavunjaji, polisi walipofika wakawaambia wote walałe chini.

Sasa yule alieita polisi anawaambia mimi ndio nimewaita kukamata hawa waarifu, jamaa hawakuwa na muda wa kumsikiliza zaidi ya kumwambia na yeye alale chini. Wakacharaza wote risasi hapo hapo.

Hizo siku mtandao ulipozimwa jamaa wameua, something tells me wewe jamaa ni sehemu ya team ya wauaji.

Lakini huko serikalini na kwenyewe kuna kilio kwa hizi video wanazoziona.

Sehemu kubwa ya walinzi wa nchi wanaona kama vile, wameiangusha Tanzania waliyoapa kuilinda.
 
1. Mheshimiwa rais leo umetoa hotuba ya kuumiza mno Watanzania wema , hujakemea kwa kauli kali uhalifu, umewapa zawadi majambazi , maharamia , wezi, vibaka kwa kutamka mbele ya vyombo kuwa wasamehewe? kweli ? basi samehe na wabakaji magerezani wa mihemko, naomba tuombe radhi tuliotumia nguvu na damu kulinda maeneo yetu na biashara zetu zisichomwe huku askari wakikimbia kama kuku , mfano ni mtaa wangu wa biashara Uyole walitaka kuvunja crdb na nmb waibe tuliogopa wakimaliza watakuja kwetu tukaanza kuwasambaratisha kwa bunduki kama raia wema hapo hatukuwa na akiba ya risasi tulirisk sana na tulikuwa watatu tu, halafu unawasamehe kweli? RAIS SAMIA KWELI SHIDA NINI KWANI UNATAKA KURA ? SI UMESHAAPISHWA kwa nini unajipendekeza kwa majambazi? batilisha kauli agiza wapigwe risasi tena tangaza na siku ya kuwanyonga tuma ujumbe uhalifu uishe.

2. HIVI baada ya polisi kuanza kuchukua hatua kali mbona waliacha kufanya uhalifu? maana yake ni kwamba walikuwa wanapima kina cha maji, piga risasi tu kila mhuni acha maridhiano na wahalifu onyesha leadership kama amiri jeshi mkuu

3. Watu wenye wivu na mafanikio ya watu wanawashinda raia wema kweli? yaani wafanyabiashara wema wengi wameumizwa huwapi pole unawapa zawadi majambazi kweli? tuombe radhi rais unawavunja moyo vyombo vya ulinzi hawa walioshikwa wataje wenzao na wapigwe risasi wote ujumbe ufike
Unavielement vingi sana vya ushoga ,jitahidi usiwe unakaa karibu na wanaume ,watakutusua ,trust me ,kama bado hujaliwa jitahidi kukaa mbali na wanaume watakutusua siyo muda ,mwanaume hawezi kuandika maandishi yakichoko kama haya.
 
Unavielement vingi sana vya ushoga ,jitahidi usiwe unakaa karibu na wanaume ,watakutusua ,trust me ,kama bado hujaliwa jitahidi kukaa mbali na wanaume watakutusua siyo muda ,mwanaume hawezi kuandika maandishi yakichoko kama haya.
kwa umri wangu kama sikuwahi sintowahi tena mii nimesema ukweli wengi wafanya biashara tumeumia sana maana hawa wajinga watarudia tena huko mbeleni , maandamano yankuwaga ya amani yenye ujumbe wao walikuwa wanachoma nchi kila kitu na wizi na ujambazi
 
Wanakuona taahira tu, hao wenyewe waliotoa amri wana butwaa, what the fuc.k just happened.

Achana na mshangao wa sehemu kubwa ya senior civil servants wengine ambao hawausiki na maamuzi huko serikalini.

Kuna watu wengi wa kulaumu for starters poor security forces; ni wazi tuna vyombo vya usalama visivyofanya risk assessment on how to deal with uprisings.

Hizi hadithi za waganda and other nonsense don’t hold water. Kuna hadithi moja Tabata kuna vijana walikuwa wanavunja. Huyo aliepiga simu kuita polisi na wavunjaji, polisi walipofika wakawaambia wote walałe chini.

Sasa yule alieita polisi anawaambia mimi ndio nimewaita kukamata hawa waarifu, jamaa hawakuwa na muda wa kumsikiliza zaidi ya kumwambia na yeye alale chini. Wakacharaza wote risasi hapo hapo.

Hizo siku mtandao ulipozimwa jamaa wameua, something tells me wewe jamaa ni sehemu ya team ya wauaji.

Lakini huko serikalini na kwenyewe kuna kilio kwa hizi video wanazoziona.

Sehemu kubwa ya walinzi wa nchi wanaona kama vile, wameiangusha Tanzania waliyoapa kuilinda.
hiii story nimeisikia lakini sina uhakakika nayo usisahau kipindi hichi kulikuwa na story nyingi sana za uongo pia
 
1. Mheshimiwa rais leo umetoa hotuba ya kuumiza mno Watanzania wema , hujakemea kwa kauli kali uhalifu, umewapa zawadi majambazi , maharamia , wezi, vibaka kwa kutamka mbele ya vyombo kuwa wasamehewe? kweli ? basi samehe na wabakaji magerezani wa mihemko, naomba tuombe radhi tuliotumia nguvu na damu kulinda maeneo yetu na biashara zetu zisichomwe huku askari wakikimbia kama kuku , mfano ni mtaa wangu wa biashara Uyole walitaka kuvunja crdb na nmb waibe tuliogopa wakimaliza watakuja kwetu tukaanza kuwasambaratisha kwa bunduki kama raia wema hapo hatukuwa na akiba ya risasi tulirisk sana na tulikuwa watatu tu, halafu unawasamehe kweli? RAIS SAMIA KWELI SHIDA NINI KWANI UNATAKA KURA ? SI UMESHAAPISHWA kwa nini unajipendekeza kwa majambazi? batilisha kauli agiza wapigwe risasi tena tangaza na siku ya kuwanyonga tuma ujumbe uhalifu uishe.

2. HIVI baada ya polisi kuanza kuchukua hatua kali mbona waliacha kufanya uhalifu? maana yake ni kwamba walikuwa wanapima kina cha maji, piga risasi tu kila mhuni acha maridhiano na wahalifu onyesha leadership kama amiri jeshi mkuu

3. Watu wenye wivu na mafanikio ya watu wanawashinda raia wema kweli? yaani wafanyabiashara wema wengi wameumizwa huwapi pole unawapa zawadi majambazi kweli? tuombe radhi rais unawavunja moyo vyombo vya ulinzi hawa walioshikwa wataje wenzao na wapigwe risasi wote ujumbe ufike
Maxence Melo please tuongezee emoji ya 🖕
 
hiii story nimeisikia lakini sina uhakakika nayo usisahau kipindi hichi kulikuwa na story nyingi sana za uongo pia
Muhimu ni source yako, yangu ni watu wanao interact na mafisadi ya usalama ambao na wenyewe pamoja kuwa ni majizi yapo hoi na kilichotokea.
 
Maxence Melo please tuongezee emoji ya 🖕
mbona mimi ninayo kwako haionekani? ngozi nyeusi haitakiwi kubembelezwa kabisa mbona walivyoanza kupigwa shaba waliacha ujinga wao siku ya kwanza IGP wanawaaambia msitoke ndani usiku wanambishia walilambwa risasi tu za maaana za ubongo wakaanza kujua amri halali maana yake nini period , wale wangelegezewa tu siku 2 zaidi nchi ingekuwa magofu kama gaza shenzi kabisa , nina hamu kweli hata walioshikwa walambwe shaba kesho
 
Muhimu ni source yako, yangu ni watu wanao interact na mafisadi ya usalama ambao na wenyewe pamoja kuwa ni majizi yapo hoi na kilichotokea.
mimi naongea nimeona kwa mcho yangu vijana kama 200 wanaanza kurusha mawe benki ya crdb polisi wenyewe walicheka waoga mama mademu wa saluni wananchi wafanya biashara jirani ndo wakajiongeza tutoke tuzpige risasi kuzuia watu ndo kilicho tuokoa , unadhani ndugu nina maumivu kiasi gani leo wangechoma mtaji wangu na mkopo juu yaani nirudi mtaani kesho nitembee kwa kuunga unga mafuta ya gari kisa ki toto cha mtu kibaka? na ilikuwa saa 5 usiku hayo si majambazi ? yaani mnaowatete ni ambao hamkuwepo ground hamkujua ukichaaa wa hao mbwa koko
 
mimi naongea nimeona kwa mcho yangu vijana kama 200 wanaanza kurusha mawe benki ya crdb polisi wenyewe walicheka waoga mama mademu wa saluni wananchi wafanya biashara jirani ndo wakajiongeza tutoke tuzpige risasi kuzuia watu ndo kilicho tuokoa , unadhani ndugu nina maumivu kiasi gani leo wangechoma mtaji wangu na mkopo juu yaani nirudi mtaani kesho nitembee kwa kuunga unga mafuta ya gari kisa ki toto cha mtu kibaka? na ilikuwa saa 5 usiku hayo si majambazi ? yaani mnaowatete ni ambao hamkuwepo ground hamkujua ukichaaa wa hao mbwa koko
Uhalisia ni kwamba kuna watakaobisha kuna vijana wa hovyo ambao wameharibu na ilikuwa lazima wadhibitiwe (anae pinga hilo anashida).

Shida ni kwamba kilicho wazi vyombo vya ulinzi havipo trained ku-deal na uprising. Ndio msingi wa kutumia nguvu za kadri kutokana na resistance.

Huwezi kutungua wahalifu ovyo ambao hawana hata mabomu ya petrol wala kurusha mawe kwa risasi.

Kilichotokea simply ni senseless killings ndio maana kuna watu wengi wasio na hatia pia wamekufa.

Ni kama vile kulikuwa na licence to senseless killing.

Huko serikalini kuna huzuni kubwa, vigogo wengi hawaamini including Samia mwenyewe, wanatupiana lawama.

Nonetheless a lot of senior civil servants are pissed.
 
Uhalisia ni kwamba kuna watakaobisha kuna vijana wa hovyo ambao wameharibu na ilikuwa lazima wadhibitiwe (anse pinga hilo anashida).

Uhalisia ni kwamba kwenye vyombo vya ulinzi vipo trainee ku-deal na uprising. Ndio msingi wa kutumia nguvu za kadri kutokana na resistance.

Huwezi kutungua wahalifu ovyo ambao hawana hata mabomu ya petrol wala kurusha mawe kwa risasi.

Kilichotokea simply ni senseless killings Ndio maana kuna wengi wasio na hatia pia wamekufa.

Ni hivi huko serikalini kuna huzuni, wenyewe hawaamini including Samia.
ndugu kwa heshima kabisa naomba nikueleweshe hali ilivyokuwa
1. Ili uzuie kwa maji na mabomu inabidi wawe wanakuja na kelele na mawe labda, na iwe ni sehemu moja nikupe mfano wangu, walianza Uyole njia ya Tukuyu wamepiga kituo cha polisi na majengo ya njiani wa wanaccm, hapo hapo kuna kundi ilomba huko wanachoma, mafiati wanchoma, mbalizi tayari tra inaungua uzunguni walianza jirani na sigara , Tukuyu wamekiwasha , Kyela wamekiwasha, Tunduma , vwawa wamekiwasha hapo polisi wajigawaje kwa hiyo ika ni wakikuta mahali wanapiga watu 8 mpaka 10 wakati jamaa wanaendele a kuokota watu wao nao wanahama wanawahi kulikochangamka wanawachapa kadhaa wanahama kumbuka polisi waliokuwa na ujasiri wa kurusha risasi za moto ni vijana MAHIRI wa anti robbery tu hao nawajua huwa tunawapaka mshiko wawe wanapita pita kwenye biashara zetu usiku na incase tuna emergency waje chap polisi wa kawaida wengi walikuwa waoga
2. Kuna mida wanajaribu mahali mchana wakishindwa wanarudi saa nane usiku sasa hao waandamanaji kweli kuna gas station waliijaribu mara nne ndo maana mimi siwezi kuwapa jina lingine zaidi ya majambazi na vibaka 4 times the same place hayo maandamano ?

NYIE WENGI MPO NJE AU HUKUWAONA LIVE NDO UTAKUWA NA HURUMA, YAANI MIMI LEO SERIKALI IKITANGAZA KUWA WANATAKA KUWANYONGA MTU AJITOLEEE KWENDA KUWAKATA VICHWA NITAHONGA HATA MILIONI 30 HIYO NAFASI NIIPATE nawachukia mpka basi siku 5 unalala robo saa robo saa wasipite kwenye biashara zenu , wezi wakubwa mbwa wale
 
ndugu kwa heshima kabisa naomba nikueleweshe hali ilivyokuwa
1. Ili uzuie kwa maji na mabomu inabidi wawe wanakuja na kelele na mawe labda, na iwe ni sehemu moja nikupe mfano wangu, walianza Uyole njia ya Tukuyu wamepiga kituo cha polisi na majengo ya njiani wa wanaccm, hapo hapo kuna kundi ilomba huko wanachoma, mafiati wanchoma, mbalizi tayari tra inaungua uzunguni walianza jirani na sigara , Tukuyu wamekiwasha , Kyela wamekiwasha, Tunduma , vwawa wamekiwasha hapo polisi wajigawaje kwa hiyo ika ni wakikuta mahali wanapiga watu 8 mpaka 10 wakati jamaa wanaendele a kuokota watu wao nao wanahama wanawahi kulikochangamka wanawachapa kadhaa wanahama kumbuka polisi waliokuwa na ujasiri wa kurusha risasi za moto ni vijana MAHIRI wa anti robbery tu hao nawajua huwa tunawapaka mshiko wawe wanapita pita kwenye biashara zetu usiku na incase tuna emergency waje chap polisi wa kawaida wengi walikuwa waoga
2. Kuna mida wanajaribu mahali mchana wakishindwa wanarudi saa nane usiku sasa hao waandamanaji kweli kuna gas station waliijaribu mara nne ndo maana mimi siwezi kuwapa jina lingine zaidi ya majambazi na vibaka 4 times the same place hayo maandamano ?

NYIE WENGI MPO NJE AU HUKUWAONA LIVE NDO UTAKUWA NA HURUMA, YAANI MIMI LEO SERIKALI IKITANGAZA KUWA WANATAKA KUWANYONGA MTU AJITOLEEE KWENDA KUWAKATA VICHWA NITAHONGA HATA MILIONI 30 HIYO NAFASI NIIPATE nawachukia mpka basi siku 5 unalala robo saa robo saa wasipite kwenye biashara zenu , wezi wakubwa mbwa wale
Taahira wewe.

Ndio maana uoni shida, hakuna vyombo vya ulinzi hapo vilivyo tayari ku-deal na different scenario.

Hao mataahira wamekariri mbinu ya kupita mtaani kama tishio la ku-deter kuzuia watu kujikotekeza (mbinu ambayo nimewapa mimi 15 years ago) uchaguzi wa 2010 believe or not.

Ulinzi ni zaidi ya kuonyesha upo (hiyo ni phase one), yanahitajika mazoezi ya kukabili on how to disperse congregation ambayo apparently hakuna.

Ni hivi hiyo nchi kila kitu hovyo, watu wanafanya mazoezi na kuwa na utayari wa kupambana na scenario kadhaa za social uprising.

Kutungua raia wasio na silaha maana yake hakukuwa na utayari wa kupambana na changamoto za uchaguzi, hasa kwa mgombea asiekubalika.

Hiyo nchi imeoza sio raisi wale tu, bali vyombo vyote vya ulinzi na wewe sio mzima kutetea hiyo massacre.
 
Taahira wewe.

Ndio maana uoni shida, hakuna vyombo vya ulinzi hapo vilivyo tayari ku-deal na different scenario.

Hao mataahira wamekariri mbinu ya kupita mtaani kama tishio la ku-deter kuzuia watu kujikotekeza (mbinu ambayo nimewapa mimi 15 years ago) uchaguzi wa 2010 believe or not.

Ulinzi ni zaidi ya kuonyesha upo (hiyo ni phase one), yanahitajika mazoezi ya kukabili on how to disperse congregation ambayo apparently hakuna.

Ni hivi hiyo nchi kila kitu hovyo, watu wanafanya mazoezi na kuwa na utayari wa kupambana na scenario kadhaa za social uprising.

Kutungua raia wasio na silaha maana yake hakukuwa na utayari wa kupambana na changamoto za uchaguzi, hasa kwa mgombea asiekubalika.

Hiyo nchi imeoza sio raisi wale tu, bali vyombo vyote vya ulinzi na wewe sio mzima kutetea hiyo massacre.
kweli na wewe nilidhani una akili sasa nakuona bwege yaani sehemu zaidi ya 30 zinachomwa kwa wakati mmoja polisi wajigawaje? halafu polisi ana zamu wanakuja mchana wanarudi saa 7 usiku yaani kazzi yenu iwe kuchezeana kama mapenzi ya kihindi , ACHA WAMEPATA WALICHOKIHITAJI NA NAOMBA WALIOBAKI WAZAWADIWE HIVYO HIVYO
 
kweli na wewe nilidhani una akili sasa nakuona bwege yaani sehemu zaidi ya 30 zinachomwa kwa wakati mmoja polisi wajigawaje? halafu polisi ana zamu wanakuja mchana wanarudi saa 7 usiku yaani kazzi yenu iwe kuchezeana kama mapenzi ya kihindi , ACHA WAMEPATA WALICHOKIHITAJI NA NAOMBA WALIOBAKI WAZAWADIWE HIVYO HIVYO
Hitimisho ni kwamba hilo limama ni liuaji lenye roho mbaya.

👋
 
Back
Top Bottom