MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hatuwezi kuwa na Mkuu wa Mkoa ambaye huyo huyo Mmoja anakuja na Kauli Mbili Kinzani juu ya Jambo / Sakata fulani lenye Umuhimu na Unyeti wake katika Jamii ya wana Dar es Salaam.
Ni Mkuu wa Mkoa anayeziidiwa Maarifa ( Akili ) na wana Dar es Salaam wote hivyo tunahitaji Mkuu wa Mkoa ambaye ama ametuzidi kidogo Upeo au tuko nae sawa ili tuweze kwenda nae sawa pia ila siyo kwa huyu Amos Makalla.
Mheshimiwa Rais najua unaogopa Kumtoa hapo kwakuwa ni Team Msoga ( ambaye kwa sasa ndiyo Mshauri wako Mkuu ) na ndiyo Yeye pia alikuomba umpe Ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ila Kiukweli nikuambie tu kuwa Mkoa wa Dar es Salaam na Changamoto zake unamzidi uwezo alionao.
Ama turudishie Abubakary Kunenge au tuletee Mtaka au Dada yetu na Mtoto wa Mjini hasa Sofia Mjema ambaye huu Mkoa ungemfaa hasa, angeuweza kwakuwa alishawahi pia hata kuwa Mkuu wa Wilaya yenye Masela, Wabishi na Watu waliovurugwa tupu wa Ilala na aliumudu vyema kabisa.
Nilipoona tu kila mara Mkuu huyu wa sasa wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla anapenda Kukusifia, Kukulamba Miguu, Kukupamba karibia na hata kutaka Kumkufuru Mwenyezi Mungu kila akiwa pamoja nawe katika Hafla za Kimkoa ( wa Dar es Salaam ) nilishajua tu kuwa hatuna Mkuu wa Mkoa bali tuna Kituko tupu.
Muondoe na mpe tu Cheo huko CCM!!!
Ni Mkuu wa Mkoa anayeziidiwa Maarifa ( Akili ) na wana Dar es Salaam wote hivyo tunahitaji Mkuu wa Mkoa ambaye ama ametuzidi kidogo Upeo au tuko nae sawa ili tuweze kwenda nae sawa pia ila siyo kwa huyu Amos Makalla.
Mheshimiwa Rais najua unaogopa Kumtoa hapo kwakuwa ni Team Msoga ( ambaye kwa sasa ndiyo Mshauri wako Mkuu ) na ndiyo Yeye pia alikuomba umpe Ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ila Kiukweli nikuambie tu kuwa Mkoa wa Dar es Salaam na Changamoto zake unamzidi uwezo alionao.
Ama turudishie Abubakary Kunenge au tuletee Mtaka au Dada yetu na Mtoto wa Mjini hasa Sofia Mjema ambaye huu Mkoa ungemfaa hasa, angeuweza kwakuwa alishawahi pia hata kuwa Mkuu wa Wilaya yenye Masela, Wabishi na Watu waliovurugwa tupu wa Ilala na aliumudu vyema kabisa.
Nilipoona tu kila mara Mkuu huyu wa sasa wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla anapenda Kukusifia, Kukulamba Miguu, Kukupamba karibia na hata kutaka Kumkufuru Mwenyezi Mungu kila akiwa pamoja nawe katika Hafla za Kimkoa ( wa Dar es Salaam ) nilishajua tu kuwa hatuna Mkuu wa Mkoa bali tuna Kituko tupu.
Muondoe na mpe tu Cheo huko CCM!!!