Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Eeh Mwenyezi Mungu nisaidie.
Heheeeee, miradi ya ajabu ifufuliwe? Kuala ni kutudanganya tu maana sisi wabongo ni wapimbafu. Nchi imeanza kuliwa Kama enzi za kikwete. Wako si kukutumikia bali kujaza matumbo yao.Mimi Samia Suluhu Hassan naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitaihifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria iliyowekwa.
Eeh Mwenyezi Mungu nisaidie.
Mkuu Mag3 , kwanza naunga mkono hoja, kuwakumbusha viongozi wetu kuhusu viapo vyao, ni jambo jema!.Mimi Samia Suluhu Hassan naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitaihifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria iliyowekwa.
Eeh Mwenyezi Mungu nisaidie.
Viapo vyote vinakera sana.Mimi naona hamna haja ya kuapishwa kuwa Rais Tanzania. Kwasababu haina mantiki yeyote.
Mkuu Mag3 , naendelea kukuunga mkono, yote usemayo hapa ni kweli, ni hiki ndicho Mama Samia, anachokifanya, ameapa kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania ya mwaka 1977, anailinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya JMT ya mwaka 1977, ila kwenye kuteleza haya, pia anazingatia Sheria, Taratibu, na Kanuni na miongozo ya mtangulizi wake, kama alivunja katiba, na hakufanywa lolote, Mama Samia kaipokea nchi yenye katiba iliyoshavunjwa, anaendelea nayo hivyo hivyo hadi atakapukuwa tayari kuitengeneza ikatengamaa!.Mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa jukumu lako la kwanza kama Jemadari Mkuu wa taifa ni kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Hili jukumu haliepukiki kwa namna yoyote ile, kwa sababu zozote zile na kwa madhumuni yoyote yale na vyombo vyote vya kukusaidia kuihifadhi, kuilinda na kuitetea unavyo na ulipewa na Katiba hiyo hiyo.
Katiba ndio msingi, ilani na dira ya taifa baada ya sisi Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayozingatia misingi ya uhuru, haki, udugu na amani
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan, kwa ukumbusho zaidi ni kuwa misingi ya Katiba yetu itabaki imara iwapo tu mambo haya yatazingatiwa...naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuitumikia kwa moyo wangu wote na kwamba nitaihifadhi, nitailinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria iliyowekwa.
Eeh Mwenyezi Mungu nisaidie.
Unajuaje kuwa aliyeanzisha hii thread ni kiongozi wa upinzani? Mimi sikujiunga CCM toka kipindi cha mfumo wa chama kimoja na hadi sasa sijajiunga na chama chochote cha kisiasa hapa nchini.Hii nchi inaviongozi wa upinzani hawajui kuishi kwa nyakati zilizomo. Mfano hili sekeseke la upinzani na mama asilimia kubwa ya wananchi bado wana imani na mama sio kwamba hawahitaji katiba mpya!
Umekurupuka ndugu yangu...kwenye hii thread inayoongelewa ni yeye kushindwa kuheshimu kiapo chake cha kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba kama ilivyo kwa sasa.Ila wanaona ajenda ya katiba mpya wanasiasa wa wanaipigia chapuo kwa maslahi ya Chadema (Vyama vya upinzani) zaidi kuliko ajenda nyingine.
Mimi siogopi mabadiliko na ndio maana baada ya kifo cha dhalimu mwendazake niliunga mkono kuheshimiwa kwa Katiba Mh. Samia aweze kutwaa madaraka!By then tulikua pamoja sababu adui yetu alikua Jiwe Ila sasa msilazimishe ajenda zenu zicompromise harakati zetu za maisha zilizokua shuttered kipindi cha Jiwe. Push your agendas slowly hata sisi tuna agendas zetu za maendeleo tunampush mama atekeleze tufike. Hizi katiba mpya za kukurupuka tutakosa wote.
P Kati ya watu ambao nikiona andiko lenye jina lako lazima nilisome ni wewe P ila hapa kidogo, mfano wako bado siungi mkono hoja yako ya dereva wa gari la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ina maana mama hata akikuta barbara imefungwa au kunashimo aendelee tu asirudi nyuma?Mkuu Mag3 , naendelea kukuunga mkono, yote usemayo hapa ni kweli, ni hiki ndicho Mama Samia, anachokifanya, ameapa kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania ya mwaka 1977, anailinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya JMT ya mwaka 1977, ila kwenye kuteleza haya, pia anazingatia Sheria, Taratibu, na Kanuni na miongozo ya mtangulizi wake, kama alivunja katiba, na hakufanywa lolote, Mama Samia kaipokea nchi yenye katiba iliyoshavunjwa, anaendelea nayo hivyo hivyo hadi atakapukuwa tayari kuitengeneza ikatengamaa!.
Mama Samia ni dereva wa gari letu, gari lilikuwa kwenye mwendo kasi wa kupaisha uchumi wa nchi, dereva aliyetangulia aliliburuza kwa mwendo mdundo, na kukanyaga na kufukia mashimo ya katiba, na kupitiliza baadhi ya vituo bila kusimama, moja ya vituo alivyo vipitiliza ni kituo cha katiba mpya kwenye ilani iliyopita kwa hoja ya "katiba sio, kipaumbele changu", kituo hicho kimepitilizwa. Gari yetu imeishapitiliza kituo hicho, na kwenye mwelekeo wa ilani hii ya Samia, gari yetu haijapangiwa kupitia kituo hicho!.
Maadam yeye amepokea, gari iliyoshapitiliza kituo hicho, na route ya kupita tena njia hiyo, haijapangwa, dereva wetu kaamua kuendelea na safari ya kujenga uchumi, tukiisha fika salama, ndipo route ijayo, tutaipanga kupitia njia hiyo ya katiba mpya, hivyo abiria wa kituo cha katiba mpya waliopitilizwa kituo cha katiba mpya, kama walipopitilizwa na dereva yule, hawakupiga kelele kuwa walipitilizwa, kumpigia kelele dereva aliyepokea usukani, sio kumtendea haki!.
Mwache dereva Mama Samia aendelee kuendesha gari letu, safari iendelee, safari ijayo, gari letu litapangiwa tena upya route ya kituo cha katiba mpya na huko tutafika!.
P
Je kuna popote katika mada yangu nimeongelea Katiba mpya? Mimi nimemtaka tu mama aheshimu kiapo chake cha kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba, period.Mkuu Mag3 , naendelea kukuunga mkono, yote usemayo hapa ni kweli, ni hiki ndicho Mama Samia, anachokifanya, ameapa kuihifadhi, kuilinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania ya mwaka 1977, anailinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya JMT ya mwaka 1977, ila kwenye kuteleza haya, pia anazingatia Sheria, Taratibu, na Kanuni na miongozo ya mtangulizi wake, kama alivunja katiba, na hakufanywa lolote, Mama Samia kaipokea nchi yenye katiba iliyoshavunjwa, anaendelea nayo hivyo hivyo hadi atakapukuwa tayari kuitengeneza ikatengamaa!.
Mama Samia ni dereva wa gari letu, gari lilikuwa kwenye mwendo kasi wa kupaisha uchumi wa nchi, dereva aliyetangulia aliliburuza kwa mwendo mdundo, na kukanyaga na kufukia mashimo ya katiba, na kupitiliza baadhi ya vituo bila kusimama, moja ya vituo alivyo vipitiliza ni kituo cha katiba mpya kwenye ilani iliyopita kwa hoja ya "katiba sio, kipaumbele changu", kituo hicho kimepitilizwa. Gari yetu imeishapitiliza kituo hicho, na kwenye mwelekeo wa ilani hii ya Samia, gari yetu haijapangiwa kupitia kituo hicho!.
Maadam yeye amepokea, gari iliyoshapitiliza kituo hicho, na route ya kupita tena njia hiyo, haijapangwa, dereva wetu kaamua kuendelea na safari ya kujenga uchumi, tukiisha fika salama, ndipo route ijayo, tutaipanga kupitia njia hiyo ya katiba mpya, hivyo abiria wa kituo cha katiba mpya waliopitilizwa kituo cha katiba mpya, kama walipopitilizwa na dereva yule, hawakupiga kelele kuwa walipitilizwa, kumpigia kelele dereva aliyepokea usukani, sio kumtendea haki!.
Mwache dereva Mama Samia aendelee kuendesha gari letu, safari iendelee, safari ijayo, gari letu litapangiwa tena upya route ya kituo cha katiba mpya na huko tutafika!.
P