Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 51
- 141
Dr Samia Suluhu Hasan - Mama wa Taifa na Mfariji Mkuu wa Taifa
Na Comrade Ally Maftah
Taifa letu limepata bahati kubwa sana kumpata mfita machozi kama Dr Samia Suluhu Hasan katika kipindi hiki ambacho dunia inapitia mabadiliko mbalimbali ya kiuchumi na kimazingira.
Ni kipindi ambacho tusingampata Dr Samia Suluhu Hasan pengine tungekuwa tumejiingiza kwenye heka heka nzito za migogoro ya kiuchumi na kimahusiano, hii ni kwa maono yangu,
Dr Samia Suluhu Hasan amkuja kutupa matumaini makubwa wana siasa, wajasiliamali, wasomi, na wananchi wote kwa
- Kuongeza wigo wa utoaji wa elimu na makundi ya kupata elimu kwa kujenga madarasa na kuruhusu wajawazito kuendelea na masomo
-Democrasia na uhuru wa habari, vijana wengi wamerudisha matumaini kwa kupata kipato kupitia mitandao
- Miundombinu ya usafirishaji na umeme
Na Comrade Ally Maftah
CEO - CAM STORE
Mjumbe Mkutano Mkuu Mkoa CCM & Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam
Na Comrade Ally Maftah
Taifa letu limepata bahati kubwa sana kumpata mfita machozi kama Dr Samia Suluhu Hasan katika kipindi hiki ambacho dunia inapitia mabadiliko mbalimbali ya kiuchumi na kimazingira.
Ni kipindi ambacho tusingampata Dr Samia Suluhu Hasan pengine tungekuwa tumejiingiza kwenye heka heka nzito za migogoro ya kiuchumi na kimahusiano, hii ni kwa maono yangu,
Dr Samia Suluhu Hasan amkuja kutupa matumaini makubwa wana siasa, wajasiliamali, wasomi, na wananchi wote kwa
- Kuongeza wigo wa utoaji wa elimu na makundi ya kupata elimu kwa kujenga madarasa na kuruhusu wajawazito kuendelea na masomo
-Democrasia na uhuru wa habari, vijana wengi wamerudisha matumaini kwa kupata kipato kupitia mitandao
- Miundombinu ya usafirishaji na umeme
Na Comrade Ally Maftah
CEO - CAM STORE
Mjumbe Mkutano Mkuu Mkoa CCM & Wazazi Mkoa wa Dar es Salaam