Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,703
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani amesharejea Jijini Dodoma
Alipowasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma Mheshimiwa Rais alilakiwa na Makamo wa Rais Dkt Philip Mpango, Wakuu wa Vyombo Vya Ulinzi na Usalama pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali.
Mama Samia alitembelea nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili ambapo alipata fursa ya kulihutubia Bunge la nchi hiyo.
Source: DPC Gerson Msigwa