Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 297
- 285
Kazi kweli kweli ila kuna maendeleo kwenye sekta ya elimu yamepigwa hata kama ni asilimia ndogo.Kuwa siriasi basi hata kama ni uchawa!pesa za COVID za jana tu,leo zilete matokeo makubwa!!!??
Hii ni Siasa tu,watu wanacheza na namba kumfurahisha mkubwa na kulinda ajira zao.Kipindi Cha Kikwete,wanafunzi walifeli balaa,ma genius wa ccm wakaja na "big result now"matokeo makubwa sasa,hiyo agency ikiongozwa na profesa mmoja wa majararani.akaona dawa hapa ni kushusha alama za ufaulu Ili na wale vilaza wafaulu,wakafaulu!!!?
Kwahiyo kwa mabinti Hawa Tena kutoka shule za serikali kufaulu,ni mchezo tu,Siasa za kisenge,wanajitekenya na wanacheka wenyewe
Yamekamilika lini madarasa? wanafunzi wameanza lini mitihani? mambo mengine ni akili tu yanahitaji sio kukurupuka. Rais Samia anastahili pongezi.Kuwa siriasi basi hata kama ni uchawa!pesa za COVID za jana tu,leo zilete matokeo makubwa!!!??
Hii ni Siasa tu,watu wanacheza na namba kumfurahisha mkubwa na kulinda ajira zao.Kipindi Cha Kikwete,wanafunzi walifeli balaa,ma genius wa ccm wakaja na "big result now"matokeo makubwa sasa,hiyo agency ikiongozwa na profesa mmoja wa majararani.akaona dawa hapa ni kushusha alama za ufaulu Ili na wale vilaza wafaulu,wakafaulu!!!?
Kwahiyo kwa mabinti Hawa Tena kutoka shule za serikali kufaulu,ni mchezo tu,Siasa za kisenge,wanajitekenya na wanacheka wenyewe
Mbona trend ipo hivi kwa muda mrefu tuNakubaliana nawe Rashda. Kazi kubwa sana inafanyika.
Vyoo vibovu, wanafunzi wakawa wanaenda kujisaidia maporini na wengine kwenda majumbani lakini wanashindwa kurudi tena shule hivyo kukosa vipindi.Kwahiyo matundu ya vyoo yalisababisha watu wafeli?
Nchi za wenzetu zina wanasiasa.Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Leo Baraza la Mitihani Taifa limetangaza matokeo ya kidato cha 6 na kwenye orodha ya shule 10 bora kuna shule takribani 3 za serikali zimeingia kwenye orodha hii.
Wote sisi ni mashahidi wa namna ambavyo Rais Samia Suluhu alivyoipa sekta ya elimu kipaumbele kwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira bora ya kujisomea na pia kujenga shule karibu ili kupunguza umbali wakwenda shule.
Kupitia fedha za Uviko-19, Rais Samia alijenga vyumba vya madarasa, bweni, maabara na maktaba za kujisomea ili kuhakikisha wanafunzi hawa wanapata elimu bora na sio bora elimu.
Hakuishia hapo tu, alihakikisha pia kuna vifaa vyote vya kujisomea kama vitabu na pia walimu kwenye shule hizo na ndio maana ufaulu umeongezeka sababu wanafunzi hawa walikua hawapati tena tabu ya kuitafuta elimu.
Nani kama MAMA SAMIA SULUHU HASSAN? NANI KAMA MAMA YETU? HAKIKA TANZANIA TUPO SALAMA NA RAIS SAMIA SULUHU. KAZI IENDELEE
Mbona trend kwa shule za serikali kuingia top 10 ipo muda mrefuYamekamilika lini madarasa? wanafunzi wameanza lini mitihani? mambo mengine ni akili tu yanahitaji sio kukurupuka. Rais Samia anastahili pongezi.
SawaNchi za wenzetu zina wanasiasa.
Tanzania Ina Wapumbavu wanaojifanya wanasiasa.
Wameua a level za private kwa kuwanyima mikopo, then wanajishebeduaMbona trend kwa shule za serikali kuingia top 10 ipo muda mrefu
Why don't you use your Brain ?Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Leo Baraza la Mitihani Taifa limetangaza matokeo ya kidato cha 6 na kwenye orodha ya shule 10 bora kuna shule takribani 3 za serikali zimeingia kwenye orodha hii.
Wote sisi ni mashahidi wa namna ambavyo Rais Samia Suluhu alivyoipa sekta ya elimu kipaumbele kwa kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na mazingira bora ya kujisomea na pia kujenga shule karibu ili kupunguza umbali wakwenda shule.
Kupitia fedha za Uviko-19, Rais Samia alijenga vyumba vya madarasa, bweni, maabara na maktaba za kujisomea ili kuhakikisha wanafunzi hawa wanapata elimu bora na sio bora elimu.
Hakuishia hapo tu, alihakikisha pia kuna vifaa vyote vya kujisomea kama vitabu na pia walimu kwenye shule hizo na ndio maana ufaulu umeongezeka sababu wanafunzi hawa walikua hawapati tena tabu ya kuitafuta elimu.
Nani kama MAMA SAMIA SULUHU HASSAN? NANI KAMA MAMA YETU? HAKIKA TANZANIA TUPO SALAMA NA RAIS SAMIA SULUHU. KAZI IENDELEE
There is no brain theirWhy don't you use your Brain ?
πππThere is no brain their
Kuna wakati unajisemea sitatukana tena jf ghafla unakuta na uzi huu wa chawa kama huyu unajikuta unavunja ahadi ya utakatifu ukatukana tenaNchi za wenzetu zina wanasiasa.
Tanzania Ina Wapumbavu wanaojifanya wanasiasa.