Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
- Thread starter
- #21
Royal tour ni mkakati wa kuongeza idadi ya watalii nchini. Jambo hilo litapelekea mapato ya taifa letu kuongezeka na hatimae sote kunufaika.Kwahiyo kumbe ile Royal Tour yake ilikuwa ni Strategy tu ya Kuitafuta Kiulazima hiyo Tuzo?
Tumuunge mkono Mheshimiwa rais maana yeye ni miongoni mwetu.