Rais Samia Suluhu atunukiwa tuzo ya Utalii Barani Afrika

Hili ni swala la muhimili mungine.. kwahiyo swala la Mbowe iulizwe mahakama.
Kwa kweli.

Tatizo la Watanzania wenzetu baadhi walio wachache ni kuwa na uelewa mdogo wa kutofautisha mambo. Suala la mhimili mwengine wanataka wauulize mhimili mwengine.

Ni muhimu Mama aungwe mkono kwani maendeleo ni yetu sote na hayana chama
 
Nina amini Rais SSH yuko kwenye mstari sahihi wa kuiletea maendeleo chanya nchi yetu japo "wapinga maendeleo" kila uchwao wanakosoa kila kauli na hatua ya Rais.

Ila tumepata Rais Bora, mnyenyekevu, mpole na mwenye upeo. Vitu alivyo anza navyo ni vya kuiletea maendeleo makubwa nchi yetu.
Mungu ambariki sana Mheshimiwa rais Mama yetu Mama Samia Suluhu Hassan.
 
The African Tourism Board(ATB).....😍👏👊💪

ADUMU CHIFU MKUU HANGAYA aaamin aaaamin aaaamin 🙏

ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA CHIFU WETU MKUU HANGAYA 🙏
 
HA HAH !!!

MFALME ANATAKA LA ! LA ! LAAAH!!

SADIKI NA CHITEMO.......

CHIPEKO NA MNOFU.....

IYAMBILA....
 
Kwahiyo mkuu suala dogo hili unashindwa kuelewa.??? Kweli??

Unatumia nini kufikiria?? usiwe kama unakula matope badala ya chakula mkuu
Kuelewa au kuto kuelewa wote ni 'ufaulu.
Hakuna mjanja kati ya hawa wawili. (2-*2- = +?) Sababu hakuna mwenye hakika ktk hayo wanayojitahidi kuyasimamia.
Kitu pekee tunachohitajika kufanya ni kuzingatia msawaziko. na msawaziko salama unatokana pekee na upendo. ILA BINADAMU HANA JEMA!
 
Back
Top Bottom