Rais Samia Suluhu atunukiwa tuzo ya Utalii Barani Afrika

ATBlogo.jpg
 
Mama, nakusalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wewe ni alama ya uongozi kwa vitendo ndani ya Taifa letu, wengi sana watakubaliana nami katika hili akiwemo ndugu yangu Jumbe Brown . Umekuwa ni chachu ya fikra mbadala kwa sisi tulio katika nafasi za uongozi sehemu mbali mbali hapa nchini. Tunajifunza kuongoza kwa hekima, busara, staha na kuiga kwako utumiaji wa lugha nzuri na sauti ya chini kwenye kuzungumza na tunaowaongoza.

Leo naomba nikupongeze kwa kutunukiwa tuzo hii ya mambo ya utalii barani Afrika kutoka The African Tourism Board (ATB). Mtu akikosea anafaa kusahihishwa na akipatia anafaa kupongezwa.

Hongera sana Mheshimiwa rais na hongera kwa Watanzania wote kwa ujumla. Umeshinda wewe Mama yetu basi ndio tumeshinda sisi Watanzania.

Hii iwe ni chachu kwa Bodi ya Utalii Tanzania, Wizara ya Maliasili na Utalii na wadau wote wa utalii kuhakikisha kwamba The Royal Tour iliyofanywa na Mheshimiwa Rais inatangazwa zaidi na zaidi kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Wizara husika pamoja na washika dau wote tunalo jukumu la kuhakikisha kwamba tunaitangaza nchi yetu vyema bila kuangalia mitazamo yetu ya kisiasa wala kidini.

Tanzania ni yetu sote, tuijengeni ipendeze.

----------

THE African Tourist Board (ATB) on Saturday honoured President Samia Suluhu Hassan with the Continental Tourism Award for her tireless contribution to the country’s tourism sector.

The continental body feted President Samia with the coveted award, noting that they were impressed by unwavering commitment to the promotion of tourism in Tanzania.

“She stood firm as the sector resiliently makes a comeback amidst the Covid-19 Pandemic,” said Mr Cuthbert Ncube, who is also the ATB Executive Chairman as he handed the Natural Resources Minister, Damas Ndumbaro, on the President’s behalf.

The continental tourism board lauded President Samia for her ini- tiative to host the inaugural of East African Community (EAC) Regional Tourism Expo (EARTE).

ATB also singled out President Samia’s role in recording the Royal Tour documentary which is meant to promote Tanzania internationally, as a gesture worth emulated by other Heads of State on the continent.

“She is in fact the first female President to single handedly promote Tanzania’s and EAC tourism,” added Mr Ncube.
Some of the tourism minis- ters on the continent were also honored with various awards during the event, with Dr Ndumbaro feted for his com- mitment in driving the tour- ism agenda in Tanzania and beyond.

“The Minister demonstrated a cutting edge initiative in making tourism a mainstay sector in Tanzania,” explained Mr Ncube.

Others who received the award include Memonatu Pratt from Sierra Leone, Kenya’s Najib Balala and Moses Vilakazi from Eswatini.

Tanzania becomes the first country within EAC region to host EARTE, an opportunity described by Dr Ndumbaro as a great honour to the country.

“We feel so much privileged to host such a high profile gathering that seeks to market the country’s tourist destinations,” he said.

Dr Ndumbaro equally thanked the EAC Secretariat for making such an event a reality, while also reserving praise to South Sudan for their participation in the expo.

The move also saw Dr Ndumbaro honour the South Sudanese delegation in the event with a three-day fully paid package entry and access to the Ngorongoro Conserva- tion Area (NCA).

Speaking before opening the expo, EAC Secretary Gen- eral Peter Mathuki said the exhibition was a clear testimony that tourism was back to the region after a bout of Covid-19.

Dr Mathuki also hailed Tanzania for hosting the event that sought to promote tour- ism in the region.

The EAC boss further revealed that his office was hatching a plan of rolling out a special EAC Pass that will enable East Africans to traverse the region without any restritions.

“It will indicate that you’ve either been tested or vaccinated against the killer disease, and therefore resi- dents from the six partner states will freely move in the region,” he said.

Dr Mathuki also revealed that the EAC remained true in implementing the regional recovery plan and capitalising on the regional domestic tourism campaign.

The three-day expo, under the theme, ‘Promotion of Resilient Tourism for Inclusive Socio-economic Development’ will also be attended by national tourism boards, private sector and tourism industry players, representatives from other Regional Economics Com- munities (SADC, IGAD, COMESA), African Union, UN World Tourism Organisations, Development Partners and members of the Diplomatic Community in Tanzania.

It aims at creating awareness on tourism investment opportunities amid the pandemic and promote EAC as a single tourism destination.

Source: Samia earns tourism award
Zawadi hata kabla zile picha alizopiga hazijatoka?!
 
Declaration of interest,

Mimi ni muumini wa legacy ya JPM. Kwangu mimi JPM ni 'martryed'.

Binafsi huwa sina imani na wanawake hasa kwenye kufanya maamuzi magum,
Ila huyu mama nikama anakitu fulani kinaweza tuvusha na kizazi kijacho kikafurahia zaidi.

Nadhani tumuunge mkono.
 
Kwani ni mahakama iliyomkamatq Mbowe? Mbowe amebambikiziwa kesi na oolisi. Polisi wanapokea order tokakwa Rais.
Kumbe mkuu unazo taarifa za kutosha za kumtetea Mheshimiwa Mbowe. Kwanini hupendi mahakamani sasa???

Hivi kwanini baadhi ya Watanzania wenzetu mnakuwa wazembe kiasi hiki?? Taarifa unazo lakini unakaa nazo kwenye mitandao ya kijamii tu???

Tubadilike, jitokeze polisi au mahakamani ukatoe ushahidi wako mkuu
 
Declaration of interest,

Mimi ni muumini wa legacy ya JPM. Kwangu mimi JPM ni 'martryed'.

Binafsi huwa sina imani na wanawake hasa kwenye kufanya maamuzi magum,
Ila huyu mama nikama anakitu fulani kinaweza tuvusha na kizazi kijacho kikafurahia zaidi.

Nadhani tumuunge mkono.
Kabisa mkuu,

Mama atatuvusha na atalipeleka taifa letu mbali sana. Tumuunge mkono.

Viva Magufuli viva Mama Samia.

Mama Samia mpaka 2030.
 
Kwani ni mahakama iliyomkamatq Mbowe? Mbowe amebambikiziwa kesi na oolisi. Polisi wanapokea order tokakwa Rais.
Hata mdude mlisema ni polisi ndio ilimkamata kwa maagizo ya raisi, lkn watu walipomshauri mdude amshukur raisi Samia kwa kurahisisha yeye kutoka, mlikataa kuwa Mdude hakuachiwa na raisi bali ni mahakama ndio aliomuachia. Kwahiyo haina haja ya kumshukuru. Sasa inashangaza leo kudai tena raisi ndio mwenye mamlaka ya kuachia watuhumiwa.
 
Back
Top Bottom