johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Rais Samia amesema Rais ni taasisi lakini inayoongozwa na mtu na katika awamu iliyopita tulikuwa na ndugu yetu Magufuli ambaye ametuachia miradi mingi mikubwa, tuxidi kumuombea ili Mungu amlaze mahali pema peponi.
Rais Samia amewataka wananchi kulinda miundo mbinu inayojengwa kwani inaligharimu taifa fedha nyingi
Dominica njema!
Chanzo: ITV
Rais Samia amewataka wananchi kulinda miundo mbinu inayojengwa kwani inaligharimu taifa fedha nyingi
Dominica njema!
Chanzo: ITV