Rais Samia ni komandoo aliyeiva

Rais Samia ni komandoo aliyeiva

Ndugu zangu watanzania,

Mtu kufikia hatua ya ukomandoo anakuwa amepitia mafunzo mengi Sana magumu,yenye kuhitaji nguvu na akili,maarifa na upeo,ufahamu na utambuzi,uvumilivu na ujasiri,ukakamavu na ushupavu,Dhamira na malengo,Dira na muelekeo.

Komandoo Ni mpambanaji na Jasiri Sana,mkakamavu na mvumilivu wa Hali ya juu katika magumu na mateso yote apitiayo.Hakati Tamaa mpaka atimize lengo ,yupo tayari kuishi na kukaa katika mazingira ya aina yoyote yale,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini na moyo wa ushindi kwa Taifa lake,yupo Tayari kuhatarisha maisha yake kwa ajiri ya Taifa lake ,Ni mtu aliye jitoa na kujitolea Kama sadaka kwa ajili ya maisha na uhai wa Taifa lake na watu wake.

Kamandoo hachoki kupigana,hachoki kupambana,kazi yake ni kusonga mbele kwa maarifa ,akili,ujuzi,ujasiri, ushupavu,ukakamavu na umadhubuti wa Hali ya juu Sana

Hivi Ndivyo alivyo Rais wetu mama Samia suluhu Hassani,Ni kiongozi mpambanaji Sana,Jasiri, mkakamavu,Hodari, mvumilivu, aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini makubwa Sana,hateteleki Wala kuteteleshwa.hayaogopi matatizo ya kiuongozi Bali huyakabili kwa moyo wa ujasiri na ushupavu,hayakwepi matatizo Bali hutazama na kuyamaliza kiweledi Sana.

Ndio maana tumefika hapa Kama Taifa ,ndio maana tumeshinda Vita vyote vya kiuchumi,ndio maana tumevuka mitihani yote migumu,ndio maana tumewashinda maadui wote waliojitokeza mbele yetu Kama Taifa. kwa kuwa mbele yetu alikuwepo na yupo Rais wetu mpendwa na Jasiri mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania na Tumaini la wanyonge.ni kwa kuwa mbele yetu Kama Taifa alikuwepo mama yetu na Rais wetu alietushika mkono,kutufariji,kututia moyo,kutuunganisha,kutufuta machozi ,kutushauri,kutupa maneno ya ujasiri,kutuongoza,kutupatia matumaini,kutupa Tabasamu na matumaini pamoja na kutujengea ujasiri wa kusonga mbele pasipo kukata Tamaa.

Ndio maana Leo hii watanzania Wanatazama Mbele kwa matumaini na siyo hofu,ndio maana watanzania wanasonga mbele kwa ujasiri pasipo Shaka,ndio maana Taifa Lina amani, utulivu na upendo huku likiwa limeshikamana.ndio maana uchumi wetu unaendelea kupaa na kumgusa kila mtanzania,ndio maana kila mtanzania Anayo matumaini makubwa ya kutimiza Ndoto zake, ndio maana watanzania tunazungumza lugha moja,ndio maana watanzania tunapendana ,kuheshimiana,kusaidiana , kushirikiana na kuvumiliana tunapotofautiana kimtizamo,ndio maana kila mmoja wetu anaiona kesho iliyo Bora zaidi ya Leo na kila mmoja anaiona nuru machoni pake.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Na wewe umekuwa na hulka za kubweka ili kufurahisha bwana anaekumiliki. Kusifu, kupamba viongozi ndicho ulichobakiza kwako.

Toa kasoro pia, kosoa ili kubainisha mapungufu yarekebishwe kukuza ubora wa maisha ya wananchi. Lakini wewe ni mapambio kwa watawala mwisho unaweka na namba ya simu ili ulipwe fadhila za upambe.

Hapa ndipo CCM ilipotufikisha kwa kuzalisha wasifiaji machawa na majibwa, mtabweka ili msikiwe lakini hakuna hoja za ujenzi wa taifa
 
Mimi Ni msema kweli, sihitaji na Wala sipendi kuuficha ukweli,kiongozi akifanya vyema Ni lazima watanzania Tuwe na utamaduni wa kupongeza na kumtia moyo na faraja mhusika. Tusipende kuwakatisha Tamaa viongozi aina ya Rais Samia walio jitoa na kujitolea maisha Yao Kama sadaka kwa ajili ya kuwasaidia na kuwatumikia watanzania kwa moyo wa upendo, unyenyekevu na uzalendo wa usiopimika katika kuona kila mmoja wetu Ni mwenye Tabasamu,furaha na matumaini katika moyo na paji lake la uso wake
Sasa namba ya simu ya nini chawa wewe?
 
Na wewe umekuwa na hulka za kubweka ili kufurahisha bwana anaekumiliki. Kusifu, kupamba viongozi ndicho ulichobakiza kwako.

Toa kasoro pia, kosoa ili kubainisha mapungufu yarekebishwe kukuza ubora wa maisha ya wananchi. Lakini wewe ni mapambio kwa watawala mwisho unaweka na namba ya simu ili ulipwe fadhila za upambe.

Hapa ndipo CCM ilipotufikisha kwa kuzalisha wasifiaji machawa na majibwa, mtabweka ili msikiwe lakini hakuna hoja za ujenzi wa taifa
Kama Kuna mahali umeona kasoro ni uamuzi wako kukosoa kwa staha na hoja zenye uthibitisho ,lakini Mimi nampongeza kwa kuwa naona mengi na mazuri yanayofanywa na kutekelezwa na serikali ya mh Rais mama Samia katika juhudi zake za dhati katika kuinua maisha ya watanzania na kuleta maisha Bora kwa kila mtanzania.

Hata katika changamoto ninaona nna mh Rais anavyopambana katika kuzitatua na kuzimaliza ili kuleta nuru katika maisha ya watanzania,ninaona ushapu wa mh Rais na serikali yake katika kushughulika na kero za watu,ndio maana kwa moyo mkunjufu,upendo na uzalendo mkubwa Sana kwa Taifa langu ninampongeza kwa dhati ya moyo wangu mh Rais kwa kazi kubwa anayoifanya katika Taifa letu.
 
Kama Kuna mahali umeona kasoro ni uamuzi wako kukosoa kwa staha na hoja zenye uthibitisho ,lakini Mimi nampongeza kwa kuwa naona mengi na mazuri yanayofanywa na kutekelezwa na serikali ya mh Rais mama Samia katika juhudi zake za dhati katika kuinua maisha ya watanzania na kuleta maisha Bora kwa kila mtanzania.

Hata katika changamoto ninaona nna mh Rais anavyopambana katika kuzitatua na kuzimaliza ili kuleta nuru katika maisha ya watanzania,ninaona ushapu wa mh Rais na serikali yake katika kushughulika na kero za watu,ndio maana kwa moyo mkunjufu,upendo na uzalendo mkubwa Sana kwa Taifa langu ninampongeza kwa dhati ya moyo wangu mh Rais kwa kazi kubwa anayoifanya katika Taifa letu.
Huna lolote wewe ni jibwa unabweka kumfurahisha bosi
 
Ndugu zangu watanzania,

Mtu kufikia hatua ya ukomandoo anakuwa amepitia mafunzo mengi Sana magumu,yenye kuhitaji nguvu na akili,maarifa na upeo,ufahamu na utambuzi,uvumilivu na ujasiri,ukakamavu na ushupavu,Dhamira na malengo,Dira na muelekeo.

Komandoo Ni mpambanaji na Jasiri Sana,mkakamavu na mvumilivu wa Hali ya juu katika magumu na mateso yote apitiayo.Hakati Tamaa mpaka atimize lengo ,yupo tayari kuishi na kukaa katika mazingira ya aina yoyote yale,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini na moyo wa ushindi kwa Taifa lake,yupo Tayari kuhatarisha maisha yake kwa ajiri ya Taifa lake ,Ni mtu aliye jitoa na kujitolea Kama sadaka kwa ajili ya maisha na uhai wa Taifa lake na watu wake.

Kamandoo hachoki kupigana,hachoki kupambana,kazi yake ni kusonga mbele kwa maarifa ,akili,ujuzi,ujasiri, ushupavu,ukakamavu na umadhubuti wa Hali ya juu Sana

Hivi Ndivyo alivyo Rais wetu mama Samia suluhu Hassani,Ni kiongozi mpambanaji Sana,Jasiri, mkakamavu,Hodari, mvumilivu, aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini makubwa Sana,hateteleki Wala kuteteleshwa.hayaogopi matatizo ya kiuongozi Bali huyakabili kwa moyo wa ujasiri na ushupavu,hayakwepi matatizo Bali hutazama na kuyamaliza kiweledi Sana.

Ndio maana tumefika hapa Kama Taifa ,ndio maana tumeshinda Vita vyote vya kiuchumi,ndio maana tumevuka mitihani yote migumu,ndio maana tumewashinda maadui wote waliojitokeza mbele yetu Kama Taifa. kwa kuwa mbele yetu alikuwepo na yupo Rais wetu mpendwa na Jasiri mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania na Tumaini la wanyonge.ni kwa kuwa mbele yetu Kama Taifa alikuwepo mama yetu na Rais wetu alietushika mkono,kutufariji,kututia moyo,kutuunganisha,kutufuta machozi ,kutushauri,kutupa maneno ya ujasiri,kutuongoza,kutupatia matumaini,kutupa Tabasamu na matumaini pamoja na kutujengea ujasiri wa kusonga mbele pasipo kukata Tamaa.

Ndio maana Leo hii watanzania Wanatazama Mbele kwa matumaini na siyo hofu,ndio maana watanzania wanasonga mbele kwa ujasiri pasipo Shaka,ndio maana Taifa Lina amani, utulivu na upendo huku likiwa limeshikamana.ndio maana uchumi wetu unaendelea kupaa na kumgusa kila mtanzania,ndio maana kila mtanzania Anayo matumaini makubwa ya kutimiza Ndoto zake, ndio maana watanzania tunazungumza lugha moja,ndio maana watanzania tunapendana ,kuheshimiana,kusaidiana , kushirikiana na kuvumiliana tunapotofautiana kimtizamo,ndio maana kila mmoja wetu anaiona kesho iliyo Bora zaidi ya Leo na kila mmoja anaiona nuru machoni pake.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Wahenga walisema TUMBO MPONZA TAko
 
Nakupongeza kwa kazi nzuri unayoifanya ,lakini ningependa kukushauri uwe unaleta evidence ya Mambo yaliyofanyika ,ili yaweze kuthibitisha uhalisia wa unachokiandika .(Chema chajiuza kibaya chajitembeza)

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Hata Rais Samia akisoma hili bandiko lazima acheke moyoni kimya kimya huku akimtafakari huyu kijana.
 
Ndugu zangu watanzania,

Mtu kufikia hatua ya ukomandoo anakuwa amepitia mafunzo mengi Sana magumu,yenye kuhitaji nguvu na akili,maarifa na upeo,ufahamu na utambuzi,uvumilivu na ujasiri,ukakamavu na ushupavu,Dhamira na malengo,Dira na muelekeo.

Komandoo Ni mpambanaji na Jasiri Sana,mkakamavu na mvumilivu wa Hali ya juu katika magumu na mateso yote apitiayo.Hakati Tamaa mpaka atimize lengo ,yupo tayari kuishi na kukaa katika mazingira ya aina yoyote yale,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini na moyo wa ushindi kwa Taifa lake,yupo Tayari kuhatarisha maisha yake kwa ajiri ya Taifa lake ,Ni mtu aliye jitoa na kujitolea Kama sadaka kwa ajili ya maisha na uhai wa Taifa lake na watu wake.

Kamandoo hachoki kupigana,hachoki kupambana,kazi yake ni kusonga mbele kwa maarifa ,akili,ujuzi,ujasiri, ushupavu,ukakamavu na umadhubuti wa Hali ya juu Sana

Hivi Ndivyo alivyo Rais wetu mama Samia suluhu Hassani,Ni kiongozi mpambanaji Sana,Jasiri, mkakamavu,Hodari, mvumilivu, aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini makubwa Sana,hateteleki Wala kuteteleshwa.hayaogopi matatizo ya kiuongozi Bali huyakabili kwa moyo wa ujasiri na ushupavu,hayakwepi matatizo Bali hutazama na kuyamaliza kiweledi Sana.

Ndio maana tumefika hapa Kama Taifa ,ndio maana tumeshinda Vita vyote vya kiuchumi,ndio maana tumevuka mitihani yote migumu,ndio maana tumewashinda maadui wote waliojitokeza mbele yetu Kama Taifa. kwa kuwa mbele yetu alikuwepo na yupo Rais wetu mpendwa na Jasiri mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania na Tumaini la wanyonge.ni kwa kuwa mbele yetu Kama Taifa alikuwepo mama yetu na Rais wetu alietushika mkono,kutufariji,kututia moyo,kutuunganisha,kutufuta machozi ,kutushauri,kutupa maneno ya ujasiri,kutuongoza,kutupatia matumaini,kutupa Tabasamu na matumaini pamoja na kutujengea ujasiri wa kusonga mbele pasipo kukata Tamaa.

Ndio maana Leo hii watanzania Wanatazama Mbele kwa matumaini na siyo hofu,ndio maana watanzania wanasonga mbele kwa ujasiri pasipo Shaka,ndio maana Taifa Lina amani, utulivu na upendo huku likiwa limeshikamana.ndio maana uchumi wetu unaendelea kupaa na kumgusa kila mtanzania,ndio maana kila mtanzania Anayo matumaini makubwa ya kutimiza Ndoto zake, ndio maana watanzania tunazungumza lugha moja,ndio maana watanzania tunapendana ,kuheshimiana,kusaidiana , kushirikiana na kuvumiliana tunapotofautiana kimtizamo,ndio maana kila mmoja wetu anaiona kesho iliyo Bora zaidi ya Leo na kila mmoja anaiona nuru machoni pake.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Hoja zako hazina nia mbaya kwa Rais wetu tatizo ni kwamba unatumia mhemko wa kihisia zaidi kuliko akili, kwa nia na malengo binafsi uyajuayo wewe.
 
Ndugu zangu watanzania,

Mtu kufikia hatua ya ukomandoo anakuwa amepitia mafunzo mengi Sana magumu,yenye kuhitaji nguvu na akili,maarifa na upeo,ufahamu na utambuzi,uvumilivu na ujasiri,ukakamavu na ushupavu,Dhamira na malengo,Dira na muelekeo.

Komandoo Ni mpambanaji na Jasiri Sana,mkakamavu na mvumilivu wa Hali ya juu katika magumu na mateso yote apitiayo.Hakati Tamaa mpaka atimize lengo ,yupo tayari kuishi na kukaa katika mazingira ya aina yoyote yale,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini na moyo wa ushindi kwa Taifa lake,yupo Tayari kuhatarisha maisha yake kwa ajiri ya Taifa lake ,Ni mtu aliye jitoa na kujitolea Kama sadaka kwa ajili ya maisha na uhai wa Taifa lake na watu wake.

Kamandoo hachoki kupigana,hachoki kupambana,kazi yake ni kusonga mbele kwa maarifa ,akili,ujuzi,ujasiri, ushupavu,ukakamavu na umadhubuti wa Hali ya juu Sana

Hivi Ndivyo alivyo Rais wetu mama Samia suluhu Hassani,Ni kiongozi mpambanaji Sana,Jasiri, mkakamavu,Hodari, mvumilivu, aliyejitoa na kujitolea kuwatumikia watanzania,hatazami nyuma kwa hofu Bali hutazama mbele kwa matumaini makubwa Sana,hateteleki Wala kuteteleshwa.hayaogopi matatizo ya kiuongozi Bali huyakabili kwa moyo wa ujasiri na ushupavu,hayakwepi matatizo Bali hutazama na kuyamaliza kiweledi Sana.

Ndio maana tumefika hapa Kama Taifa ,ndio maana tumeshinda Vita vyote vya kiuchumi,ndio maana tumevuka mitihani yote migumu,ndio maana tumewashinda maadui wote waliojitokeza mbele yetu Kama Taifa. kwa kuwa mbele yetu alikuwepo na yupo Rais wetu mpendwa na Jasiri mama Samia suluhu Hassani kipenzi Cha watanzania na Tumaini la wanyonge.ni kwa kuwa mbele yetu Kama Taifa alikuwepo mama yetu na Rais wetu alietushika mkono,kutufariji,kututia moyo,kutuunganisha,kutufuta machozi ,kutushauri,kutupa maneno ya ujasiri,kutuongoza,kutupatia matumaini,kutupa Tabasamu na matumaini pamoja na kutujengea ujasiri wa kusonga mbele pasipo kukata Tamaa.

Ndio maana Leo hii watanzania Wanatazama Mbele kwa matumaini na siyo hofu,ndio maana watanzania wanasonga mbele kwa ujasiri pasipo Shaka,ndio maana Taifa Lina amani, utulivu na upendo huku likiwa limeshikamana.ndio maana uchumi wetu unaendelea kupaa na kumgusa kila mtanzania,ndio maana kila mtanzania Anayo matumaini makubwa ya kutimiza Ndoto zake, ndio maana watanzania tunazungumza lugha moja,ndio maana watanzania tunapendana ,kuheshimiana,kusaidiana , kushirikiana na kuvumiliana tunapotofautiana kimtizamo,ndio maana kila mmoja wetu anaiona kesho iliyo Bora zaidi ya Leo na kila mmoja anaiona nuru machoni pake.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Machawa bwana hata mbuzi meee akiwa raisi leo yatasifia mpaka mate yawakauke. Sasa eti Sa100 ni komandoo
 
Back
Top Bottom