Mara ya mwisho Yanga kutajwa na Raisi nakumbuka ile siku walicheza mechi ya GSM foundation kwa ajili ya kumchangia yule dogo
Na kama sikosei ile mechi iliisha kwa droo, Mayele hakupiga hata on target
Manara alimkatisha Raisi kwenye simu
Nafikiria sijui kosa la Yanga lilianzia hapo?