Rais Samia na Magufuli wamefanana kwa lipi?

Rais Samia na Magufuli wamefanana kwa lipi?

malang0

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
438
Reaction score
523
Rais wetu mama Samia anapenda kusema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja?, lakini kimatendo tunaona utofauti , mama kafanya mabadiliko kuanzia serikali yake hadi kwenye sekretari ya chama, tumeona watu waliokuwa vipenzi wa mwendazake kawaondoa kwenye nafasi zao, kwenye kodi anataka wananchi walipe bila mabavu, vyama pinzani vilivyokuwa havitakiwi kaahidi kukutana nao, mitandao kama twitter imefunguliwa, je mama anafanana wapi na mwendazake?
 
Rais wetu mama Samia anapenda kusema yeye na Mwendazake ni kitu kimoja?, lakini kimatendo tunaona utofauti , mama kafanya mabadiliko kuanzia serikali yake hadi kwenye sekretari ya chama, tumeona watu waliokuwa vipenzi wa mwendazake kawaondoa kwenye nafasi zao, kwenye kodi anataka wananchi walipe bila mabavu, vyama pinzani vilivyokuwa havitakiwi kaahidi kukutana nao, mitandao kama twitter imefunguliwa, je mama anafanana wapi na mwendazake?
Wate 2020 waliharibu uchaguzi kwa manufaa ya Ccm!
 
Na yeye atatanguliza chama mbele na Taifa baadae. Muda si mrefu wapinzani wataanza kupigwa mabomu ili kukipa ahueni CCM.
 
Back
Top Bottom