JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,554
Waandishi uchwara wanasikilizia huenda na wao wakaokota u_DC.jana kapopolewa mbagala waandishi makanjanja wamekausha
Waandishi uchwara wanasikilizia huenda na wao wakaokota u_DC.jana kapopolewa mbagala waandishi makanjanja wamekausha
Kwa hiyo hapa Afrika Mashariki huo mfumuko umeamua kupiga Tanzania tu!? Acha porojo.Ni mtete Raisi kweli hili mfumuko wa bei upo Duniani nzima kwa sasa. Hapa USA mfumuko wa bei ni 6% kutoka 2.2% mwaka 2019. Bei ya Mafuta juu, upungufu wa maligjafi kama za kutengeneza mbolea, vifaa vinavyotumika kwenye kutengeneza magari hasa computer za magari haya yote yameleta mfumuko wa bei na itaanza kushuka mwaka kesho.
Sukari ilipanda kutoka 1800 hadi 2400 awamu ya ngapi?Bomoa bomoa, mfumko wa bei, upigaji, kusimama kwa miradi mikubwa mikubwa mbona umeanza baada ya mwezi wa tatu?
Unamsikiliza huyo sukuma/ chato gang?dadavua mkuu ilikuwaje?
Mange Kimambi kaziniNi mtete Raisi kweli hili mfumuko wa bei upo Duniani nzima kwa sasa. Hapa USA mfumuko wa bei ni 6% kutoka 2.2% mwaka 2019. Bei ya Mafuta juu, upungufu wa maligjafi kama za kutengeneza mbolea, vifaa vinavyotumika kwenye kutengeneza magari hasa computer za magari haya yote yameleta mfumuko wa bei na itaanza kushuka mwaka kesho.
Habari ya Burundi kwanza?Kwa mara ya kwanza nimeona unajihami kwa kusema matatizo ya awamu zilizopita yanaangushiwa awamu yako hivyo hutakubali ,na utasimama upande wa wananchi.
Swali langu kwako ,hili la mfumuko wa bei,kupanda holela kwa bidhaa karibu zote nchini nalo umeangishiwa jumba bovu?
Awamu iliyopita ,ya tano,pamoja na kovidi kuwa kikwazo mfumuko wa bei ulikuwa stable sana,kwanini sasa bei zinapanda kiholela na wewe kama mfariji namba moja nchini upo kimyaaa!!
Urais si lelemama ,kaza buti,vinginevyo historia itakuhukumu
Wazee wa legacy fake, mnajitahid sana kulazimisha magufuli wenu aonekane mtu kumbe kilikuwa kituko kabisa kuwahi kutokea tangu kupata uhuru wa nchi hii. Wasukuma wajinga sana aiseeWalifikiri watafuta legacy ya Magufuli kwa kuajiri vijana wa kuanzisha thread za matusi na wao kupambwa,kumbe ng'o!
Naona anatafuta huruma za wananchi. Hali ni mbaya bado mama yuko honeymoon....lolKwa mara ya kwanza nimeona unajihami kwa kusema matatizo ya awamu zilizopita yanaangushiwa awamu yako hivyo hutakubali ,na utasimama upande wa wananchi.
Swali langu kwako ,hili la mfumuko wa bei,kupanda holela kwa bidhaa karibu zote nchini nalo umeangishiwa jumba bovu?
Awamu iliyopita ,ya tano,pamoja na kovidi kuwa kikwazo mfumuko wa bei ulikuwa stable sana,kwanini sasa bei zinapanda kiholela na wewe kama mfariji namba moja nchini upo kimyaaa!!
Urais si lelemama ,kaza buti,vinginevyo historia itakuhukumu
Mkuu wasukuma walikukosea nini?Wazee wa legacy fake, mnajitahid sana kulazimisha magufuli wenu aonekane mtu kumbe kilikuwa kituko kabisa kuwahi kutokea tangu kupata uhuru wa nchi hii. Wasukuma wajinga sana aisee
Tunaongelea 2400 hadi 3000, kubomolewa kwa machinga, kusimama kwa miradi,lita ya korie kuuzwa 26,000 badala ya 15,000, kipande cha sabuni kuuzwa 500 badala ya 250, saruji kuuzwa 24, badala ya 19,500 tusizibe masikio kisa kutetea mtu.Sukari ilipanda kutoka 1800 hadi 2400 awamu ya ngapi?
Wananchi wa kimara walibomolewa Awamu ya ngapi? Na mwanza ikasemwa wasibomolewe Kwa sababu walimpa kura ?
Anajilizaliza halafu anakuja jukwaani kuchabo wapambe wake wanateteaje machozi yakeTunaongelea 2400 hadi 3000, kubomolewa kwa machinga, kusimama kwa miradi,lita ya korie kuuzwa 26,000 badala ya 15,000, kipande cha sabuni kuuzwa 500 badala ya 250, saruji kuuzwa 24, badala ya 19,500 tusizibe masikio kisa kutetea mtu.
Awamu hii hata nyama, mboga za majani na matunda vinapanda kwa 5G.
Kifupi awamu hii inajizingua yenyewe asilaumu mtu kumhujumu hali mamlaka zote na teuzi zote muhimu anafanya yeye.
Zomea +kutupiwa maweilikuwaje mbagala wakuu??
Burundi mafuta ya petrol ni elfu 2300.Na mozigo ya Burundi inapitia bandari ya dar cha ajabu dar lita ya petrol ni 2510.TafakaliniHabari ya Burundi kwanza?
Nikuulize tu mafuta ya kula yalianza kupanda bei Awamu wa ngapi?
Sukari ilipanda bei kutoka 1800 Hadi 2400 Awamu ya ngapi?
Biashara ya korosho iliharibiwa Awamu ya ngapi?
Na hawana uwezo wa kumtetea kabisa kwa mfumuko huu wa bei.Anajilizaliza halafu anakuja jukwaani kuchabo wapambe wake wanateteaje machozi yake
Nisawa sawa na waziri mkuu alalamike kuwa ni matatizo ya awamu iliyo pita, nchi ikiwa chini ya raisi mpumbavuu ni shida sana baada ya kufokasi kwenye kunyoosha nchi ili mambo yazidi kuwa vizuri yeye anapiga mayowe yasiyo na vitendoKwa ivo Mama yeye hakua kwenye awamu iliyopita. Dah ama kweli
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mbowe ni gaidi na mashungi ni kanjanja tu na goodluck minja ni mchaga siyo msukumaTatizo ni Hawa maadui wa Braza Mbowe nikuwadhibiti tu humu.
Eti kivuli Cha gauni JF banaWapambe wake watakwambia nalo kaangushiwa jumba bovu.
Hakuna rais nchi hii kwa sasa,kuna kivuli cha gauni tu
Nakuona fisadi papa sasa unakula na kujaza choo bila ya mashaka chini ya mama ngoja jeshi lichukue nchi ndiyo mtajua kuwa sisiemu ni mafiiWazee wa legacy fake, mnajitahid sana kulazimisha magufuli wenu aonekane mtu kumbe kilikuwa kituko kabisa kuwahi kutokea tangu kupata uhuru wa nchi hii. Wasukuma wajinga sana aisee