Kama sababu ipo hili sio tatizo. Kukiwa na tatizo kiutendaji ni hasara zaidi. Lakini kama hakuna shida ni vizuri kuendelea na aliyepo.Kubadili Waziri Mkuu bila ya sababu zisizoepukika ni gharama sana, kwani tunakuwa na msururu wa mawaziri wakuu wastaafu wanaohudumiwa na serikali.
Sasa hivi tuna Salim, Warioba, Malecela, Msuya, Sumaye, Lowassa, Pinda. Wote ni mawaziri wakuu wqnaohudumiwa kwa stahiki za wastaafu.
Unataka kuongeza Majaliwa naye?
Kwa sababu hii, hutaona Waziri Mkuu akibadilishwa.
Alikuwa njia panda, hawezi kukemea, hawezi kujitoa.Wakati wa uonevu Mama Yenu Samia alikuwa wapi??
Uzandiki mtupu. Mmezoea serikali za majizi sasa kikwazo chenu mmeona ni Majaliwa, mmeshashindwa tayari. Wengi watageuka mawe ya Chumvi ila sio huyo mwamba.Ni kawaida kwa Rais, mara tu anapoanza awamu yake ya uongozi, kuteua Waziri Mkuu wake,mtu anayemwamini,atakayeenda na falsafa yake, bila kumuwekea makundi.
Marais huwa wanaachana na Mawaziri wakuu wa watangulizi wao kuashiria zama mpya, pia kuvunja kundi la kisiasa la aliyemteua.
Ni wazi, lile kundi lililokuwa na imani na ndugu yule likiangalia katika safu ya uongozi, linaweza kujaribu kumtikisa mama kupitia kwa huyo. Maana safu nzima imebadilika. Na sasa wananchi wanamuelewa sana mama kuliko wakati mwingine.
Ni vyema wasimamizi wakuu wa Sera za mwendazake, sasa wampishe mama atusukie nchi ya kisasa ya kisomi na ya kitaasisi
#matege
Code-SSH-2025
Basi hana uzalendo wowote, ni unafiki tu. Kama angekuwa na uchungu kwa yale asiyoyapenda kwanini asijitoe?.Alikuwa njia panda, hawezi kukemea, hawezi kujitoa.
Hii inathibitishwa na hatua anazochukua.
2025 atateua mwingine baada ya uchaguzi mkuuNi kawaida kwa Rais, mara tu anapoanza awamu yake ya uongozi, kuteua Waziri Mkuu wake,mtu anayemwamini,atakayeenda na falsafa yake, bila kumuwekea makundi.
Marais huwa wanaachana na Mawaziri wakuu wa watangulizi wao kuashiria zama mpya, pia kuvunja kundi la kisiasa la aliyemteua.
Ni wazi, lile kundi lililokuwa na imani na ndugu yule likiangalia katika safu ya uongozi, linaweza kujaribu kumtikisa mama kupitia kwa huyo. Maana safu nzima imebadilika. Na sasa wananchi wanamuelewa sana mama kuliko wakati mwingine.
Ni vyema wasimamizi wakuu wa Sera za mwendazake, sasa wampishe mama atusukie nchi ya kisasa ya kisomi na ya kitaasisi
#matege
Code-SSH-2025
Nakwambia hivi, mtapiga soga sana hapa JF, lakini Waziri Mkuu habadilishwi.
Haya ni mambo ambayo uongozi wa CCM ulishayapitisha, si maneno ninayosema mimi tu.
Kama unataka kuchangamsha baraza, endeleza soga.
Kama unataka kuelewa nini kitatokea na sababu zake, nishakueleza.
Majaliwa yupo vizuri, utawala wa mwendazake bashite alikuwa na nguvu kuliko hata Prime minister.Majaliwa ni mchapakazi wa hali ya juu.
Kumbuka kuwa awamu ya tano JPM alimkwaza sana Majaliwa, watu kama Makonda na Kakoko hawakumheshimu.
Kaka wa bandari ikafikia hatua anamsema wazi kabisa akiwa amekaa na ndugu zake kwenye meza za waalikwa wa harusi, akisahau kuwa pembeni yake wamekaa watu wa TISS.
Makonda aliwadharau mawaziri ikafikia hatua Dr Mpango akaamua liwalo na liwe akajibu mapigo.
Majaliwa unaweza kumuweka kundi la Hayati lakini alikumbana na mikwaruzo ambayo Rais Samia anaijua vizuri.
Awamu hii anafanya kazi bila ya uwepo wa wambea na ma-snitch wa mkuu kabisa.
Katika hiyo serikali samia hakuwepo?Naunga Mkono. Rais Samia teua Waziri Mkuu wako huyu alisimamia serikali iliyofanya uonevu mwingi sana kwa raia zaidi iliyowahi kuwepo hapa Tanzania hapo kabla. Mpumzishe kama ulivyofanya kwa Bashiru
Subiri 2025 atakuja tu mwingine, kwa sasa vumiliaTuko
Tayari kumgharamia, lengo nchi isonge mbele
Tulisema tunapiga marufuku uchifu, tuwe na jamii ya watu walio sawa. Wasio na madaraja tofauti.Wakati jaji Warioba na tume yake wanakusanya maoni juu ya katiba mpya, nilipendekeza kusiwe na kiongozi analipwa maisha yake yote. Nilipendekeza kiongozi akistaafu apewe nyumba sehemu atakayopendekeza, kisha malipo yaanze 200m-2b kulingana na nafasi husika kisha akapambane na hali yake. Huu mchezo wa kulipa mstaafu mpaka afe sio kabisa. Unamlipa mstaafu halafu unakuta alipokuwa madarakani alikuwa mwizi, katili na kuingiza nchi kwenye mikataba michafu, hii haikubaliki.
Katika hiyo serikali samia hakuwepo?