chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,530
Ni kawaida kwa Rais, mara tu anapoanza awamu yake ya uongozi, kuteua Waziri Mkuu wake,mtu anayemwamini,atakayeenda na falsafa yake, bila kumuwekea makundi.
Marais huwa wanaachana na Mawaziri wakuu wa watangulizi wao kuashiria zama mpya, pia kuvunja kundi la kisiasa la aliyemteua.
Ni wazi, lile kundi lililokuwa na imani na ndugu yule likiangalia katika safu ya uongozi, linaweza kujaribu kumtikisa mama kupitia kwa huyo. Maana safu nzima imebadilika. Na sasa wananchi wanamuelewa sana mama kuliko wakati mwingine.
Ni vyema wasimamizi wakuu wa Sera za mwendazake, sasa wampishe mama atusukie nchi ya kisasa ya kisomi na ya kitaasisi
#matege
Code-SSH-2025
Marais huwa wanaachana na Mawaziri wakuu wa watangulizi wao kuashiria zama mpya, pia kuvunja kundi la kisiasa la aliyemteua.
Ni wazi, lile kundi lililokuwa na imani na ndugu yule likiangalia katika safu ya uongozi, linaweza kujaribu kumtikisa mama kupitia kwa huyo. Maana safu nzima imebadilika. Na sasa wananchi wanamuelewa sana mama kuliko wakati mwingine.
Ni vyema wasimamizi wakuu wa Sera za mwendazake, sasa wampishe mama atusukie nchi ya kisasa ya kisomi na ya kitaasisi
#matege
Code-SSH-2025