Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu

Hapo nakuelewa. Hoja yako ya mwanzo ilikuwa jumuishi (general).
 

Unanunua madege huwekezi kwenye kuvuma maji. Una bambika kesi Mungu yupi akusikie wewe?
 
Ni mipango mibovu pia ya watendaji, mvua huwa inanyesha ya kutosha tu, mbona sijawahi ona maeneo ya kutunza maji........nchi hii wanasiasa wanaongea rahisi sana mambo magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…