Exactly...ccm ilishapanga toka mwanzoni kwamba watafanya uchafu wote halafu baada ya hapo wataomba maridhiano..
Walikuwa na nia ovu toka siku ya kwanza na walisuka mipango yote, ndio maana Polepole alisema mwanzoni kabisa na alijua huu mpango sababu alikuwa ndani ya mfumo akasema "msikubali".
Kuna kakikundi ka watu wachache ndani ya ccm ambapo ndio wanaratibu haya yote...
Silaha yake ni lugha laini, sura ya upole na kujitia ana huruma..Waliyakataa maridhiano mpka akawaua watanzania kwa uwingi ule sio wa kumsikiliza huyu
Acha kulopoka alipigiwa kura wapi njoo na takwimu. Mm nilikuwa kimara kati ya watu waliojiandikisha 360 walipga kura watu 6 tu. Binafsi nilijiandikisha kurasini karibu na uhamiaji. Juzi nilimkuta nimepigiwaMpumbavu mwenyewe
Hata huko znz, waliuliwa
Ulitaka ridhaa gani ewe kenge wa chadomoghasia? Alipigiwa kura na waliopga! Si tecdema mlizila na mlivyoleta upuuzi mkala misumari.. Nyau nyie
Na hamna la kufanya hadi 2030
thank you Mama,Rais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026, wakati wa kushuhudia Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya CCM na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu, Zanzibar.
Hiko kikundi ndicho Polepole alikuwa anawaita wahuni.. ccm mtandao hao..so, hako kakikundi tukafanyeje. Tukipata jawabu tutakuwa tumepiga hatua kubwa
Wewe ni mpumbavu huwezi kuuwa watu kishwa ukawaita mezani muongee. Mjinga wewehaya maneno ni ya kwake?
sisi tulioamini huwa tunajua kuwa ni jambo zuri na bora pale mtu anapojutia matendo yake na kutubu kwa kuyaungama. Akifanya hivi kwa moyo wa dhati huwa kuna tija
Huu ni ukweli ambao hutataka kusikia but she is un popular president wakati utasemaHuwezi kuogoza watu ambao hawakuungi mkono. Raisi Samia haungwi mkono.
Sikuliona hili tukio maana nilikuwa kwenye usafi wa chumba changu,je maridhiano hayo yameleta kitu gani kipya?Je kuna mtu analo hilo tamko aliweke hapa nisome?Rais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026, wakati wa kushuhudia Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya CCM na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu, Zanzibar.
Walikataa maridhiano kabla ya uchaguzi, wakajichagua wenyewe na kuua maelfu ya Watanganyika sasa wanataka maridhiano, hawa ni mashetani kabisa.Rais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026, wakati wa kushuhudia Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya CCM na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu, Zanzibar.
Ila hayo maridhiano ni lazima ccm wakae madarakani hata kwa mauaji.Rais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026, wakati wa kushuhudia Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya CCM na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu, Zanzibar.
Silaha yake ni lugha laini, sura ya upole na kujitia ana huruma..
Lakini deep down huyu ni katili vibaya sana..
Na kawachota akili wengi sana wanaomzunguka na walio ndani ya serikali.. ndio namna yake ya kujilinda.. ana hizo kauli utasikia "mwanangu, niambie mimi mama yako"... ana vikauli flani ambavyo huwa vinawachota akili watu...
Hata Melo wa Jf kuna wakati alisema "Mwanangu Melo"..
Ana namna flani ya kuwachota watu akili, lakini ni mbwa mwitu huyo...
Yale majinga yametapeliwa tenaSikuliona hili tukio maana nilikuwa kwenye usafi wa chumba changu,je maridhiano hayo yameleta kitu gani kipya?Je kuna mtu analo hilo tamko aliweke hapa nisome?
Kwani ili ionekane kuwa kashnda ilitakiwa apate kura ngapi?Acha kulopoka alipigiwa kura wapi njoo na takwimu. Mm nilikuwa kimara kati ya watu waliojiandikisha 360 walipga kura watu 6 tu. Binafsi nilijiandikisha kurasini karibu na uhamiaji. Juzi nilimkuta nimepigiwa
Mjinga
Usichanganye mambo,mambo ya wazanzibari wewe huyajui,mara baada ya uchaguzi act wazalendo walisusia kushiriki kwenye serikali ya umoja wa kitaifa kwa mujibu wa katiba yao.Baada ya hapo iliundwa kamati ya kutafuta maridhiano baina ya ccm na act wazalendo,kamati hiyo imefanya majadiliano kwa zaidi ya miezi 5 na sasa wamekubaliano ndio wametoka hadharani kutiliana saini maridhiano hayo.Walikataa maridhiano kabla ya uchaguzi, wakajichagua wenyewe na kuua maelfu ya Watanganyika sasa wanataka maridhiano, hawa ni mashetani kabisa.