Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,162
- 17,628
Baada ya kuuwa watu na kwenda kujificha ngerengere? RRais Samia Suluhu Hassan amesema maridhiano si udhaifu bali ni ukomavu wa kisiasa.
rais hassan anaonekana kuwa mtunzi mzuri wa mashairi kuliko kiongozi mkuu wa nchiRais Samia Suluhu amesema maridhiano ni ishara ya ukomavu wa kisiasa unaojenga umoja na kuheshimiana, akisisitiza kuwa siasa zinapaswa kuongozwa na hekima, utu na maslahi ya taifa badala ya mivutano isiyoisha.
Amesema wananchi wanahitaji amani, usalama na utulivu, akizungumza Julai 9, 2026, wakati wa kushuhudia Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa kati ya CCM na ACT-Wazalendo katika Viwanja vya Ikulu, Zanzibar.
View attachment 3625584
tusipokubali tufanyeje? (kwa maslahi mapana ya taifa)Polepole alishamaliza akasema "msikubali".
Tuendelee na maisha mengine..tusipokubali tufanyeje? (kwa maslahi mapana ya taifa)
maisha ya kuishi kwa kuchukiana huwa ni magumu sana. Mioyo yetu haikuumbwa kubeba chuki, bali upendoTuendelee na maisha mengine..
Kwani ni lazima kuridhiana?
Waliyakataa maridhiano mpka akawaua watanzania kwa uwingi ule sio wa kumsikiliza huyuTuendelee na maisha mengine..
Kwani ni lazima kuridhiana?
ccm ilishapanga toka mwanzoni kwamba watafanya uchafu wote halafu baada ya hapo wataomba maridhiano..maisha ya kuishi kwa kuchukiana huwa ni magumu sana. Mioyo yetu haikuumbwa kubeba chuki, bali upendo
sasa tumfanyeje, maana Sina uhakika kama kule ICC wako na mpango ganiWaliyakataa maridhiano mpka akawaua watanzania kwa uwingi ule sio wa kumsikiliza huyu
so, hako kakikundi tukafanyeje. Tukipata jawabu tutakuwa tumepiga hatua kubwaccm ilishapanga toka mwanzoni kwamba watafanya uchafu wote halafu baada ya hapo wataomba maridhiano..
Walikuwa na nia ovu toka siku ya kwanza na walisuka mipango yote, ndio maana Polepole alisema mwanzoni kabisa na alijua huu mpango sababu alikuwa ndani ya mfumo akasema "msikubali".
Kuna kakikundi ka watu wachache ndani ya ccm ambapo ndio wanaratibu haya yote...
Huwezi kuogoza watu ambao hawakuungi mkono. Raisi Samia haungwi mkono.Huyu sijui aongee nini watu wamwelewe......anachukiwa sana......angeachana tu na uo uongozi kiroho safi.....watu hawamkubali.