Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,417
- 10,014
Nimeona picha ya mama Samia kwenye bango kubwa jengo jipya la makao makuu ya crdb.
Haya ni mabadiliko makubwa sana kwa maana ndio bank ya kwanza yenye bango kubwa la Rais nje ya jengo. Kwa maana ukiwa hata mbali sana utaiona
Kongole kwa huu ubunifu
Haya ni mabadiliko makubwa sana kwa maana ndio bank ya kwanza yenye bango kubwa la Rais nje ya jengo. Kwa maana ukiwa hata mbali sana utaiona
Kongole kwa huu ubunifu