Rais Samia, kwanini ‘Masheikh wa awamu ya sita’ wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Rais Samia, kwanini ‘Masheikh wa awamu ya sita’ wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,655
Reaction score
59,078
Rais Samia, Kwanini Masheikh wa awamu ya sita wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Watanzania hatujazoea. Na rais ni mtu wa. Dini zote. Mbona hukemei?

Rais ni wa wote, haijalishi umezaliwa makunduchi, Mchambawima, Kizimkazi au Kanyamahela

Hata rais Samia katika awamu yake ya sita 2025, hajajishughulisha na Christmas.

Asanteni Waislam kwa kutususia vyakula🙏

 
Rais Samia, Kwanini Masheikh wa awamu ya sita wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Watanzania hatujazoea. Na rais ni mtu wa. Dini zote. Mbona hukemei?

Rais ni wa wote, haijalishi umezaliwa makunduchi, Mchambawima, Kizimkazi au Kanyamahela

Hata rais Samia katika awamu yake ya sita 2025, hajajishughulisha na Christmas.

Asanteni Waislam kwa kutususia vyakula🙏
View attachment 3520613
Hizo video ni za kenya
 
Rais Samia, Kwanini Masheikh wa awamu ya sita wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Watanzania hatujazoea. Na rais ni mtu wa. Dini zote. Mbona hukemei?

Rais ni wa wote, haijalishi umezaliwa makunduchi, Mchambawima, Kizimkazi au Kanyamahela

Hata rais Samia katika awamu yake ya sita 2025, hajajishughulisha na Christmas.

Asanteni Waislam kwa kutususia vyakula🙏
View attachment 3520613
Muislam utakulaje chakula cha krismass? Ili iwe nini?
 
 
Rais Samia, Kwanini Masheikh wa awamu ya sita wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Watanzania hatujazoea. Na rais ni mtu wa. Dini zote. Mbona hukemei?

Rais ni wa wote, haijalishi umezaliwa makunduchi, Mchambawima, Kizimkazi au Kanyamahela

Hata rais Samia katika awamu yake ya sita 2025, hajajishughulisha na Christmas.

Asanteni Waislam kwa kutususia vyakula🙏
View attachment 3520613
Akili za Karani wa masijala aka aliyekuwa na ndoto za u air hostess
 
Ni hivi zamani tulikuwa tunakula na wakristo kwa sababu walikuwa wanaheshimu dini za wengine, na lazima anakuja kuomba kuchinjiwa mbuzi au kuku, kwa hiyo tunajua kabisa hiki chakula ni sawa kula.
Maimamu wa Msikiti walikuwa wanajipatia dili hapo kuchinjia ndugu zetu.
Kwa sasa mbuzi amechinjwa na Masawe huko Kimara halafu unategemea nile msosi ukinilitea, haiwezekani
 
Hiyo dini wenye akili humo ni wachache sana,wachache ninaposema wachache namaanisha ni wachache hasa.

Mtu awe na akili za kuwaza nje ya box la dini akiikosa hiyo matokeo ni hao wapumbavu tunaowasikia humo.
 
kuomba kuchinjiwa mbuzi au kuku, kwa hiyo tunajua kabisa hiki chakula ni sawa kula.
Maimamu wa Msikiti walikuwa wanajipatia dili hapo kuchinjia ndugu zetu.
Kwa sasa mbuzi amechinjwa na Masawe huko Kimara halafu unategemea nile msosi ukinilitea, haiwezekani
Wewe wala usile kataa hivyo hivyo eboh!

Ninunue mbuzi wangu 180,000/= mkaa wangu maji yangu sahani zangu unitishe hautakula,who are you?(in sa100’s voice)
 
Wewe wala usile kataa hivyo hivyo eboh!

Ninunue mbuzi wangu 180,000/= mkaa wangu maji yangu sahani zangu unitishe hautakula,who are you?(in sa100’s voice)
Mbona mnaumia sana tukisema hatulii mpaka mnaanzisha nyuzi karibia 10 zipo hapa
 
Rais Samia, Kwanini Masheikh wa awamu ya sita wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Watanzania hatujazoea. Na rais ni mtu wa. Dini zote. Mbona hukemei?

Rais ni wa wote, haijalishi umezaliwa makunduchi, Mchambawima, Kizimkazi au Kanyamahela

Hata rais Samia katika awamu yake ya sita 2025, hajajishughulisha na Christmas.

Asanteni Waislam kwa kutususia vyakula🙏
View attachment 3520613
Mpama miaka hii nazeeka sijawahi kusikia kitu kama hichi.

Mo29 inawazuzua sana nadhani madhara yameshaanza
 
Rais Samia, Kwanini Masheikh wa awamu ya sita wanatukataza kushiriki Vyakula vya Christmas?

Watanzania hatujazoea. Na rais ni mtu wa. Dini zote. Mbona hukemei?

Rais ni wa wote, haijalishi umezaliwa makunduchi, Mchambawima, Kizimkazi au Kanyamahela

Hata rais Samia katika awamu yake ya sita 2025, hajajishughulisha na Christmas.

Asanteni Waislam kwa kutususia vyakula
View attachment 3520613
Kwa namna hali ilivyo kwa sasa, ilitakiwa Kiongozi mmoja wa juu wa Kiislamu atokee mbele ya kamera hata akiwa anakula pilau na Malasusa kwasababu huyu ni mtu wao.

Pia Serikali ina viongozi wengi wa Kiislam, kama protocal zinakataa kwa Rais kuonekana anakula basi angetumwa hata Waziri yoyote Muislamu kwenda kufinya pilau la Chrismass kwa kiongozi yoyote wa Kikristo halafu wanaachia vyombo vya habari kusambaza picha na neno la kushukuru kwa mwaliko na kusifia pilau ilivyokuwa tamu

Hii ndo inaitwa damage control na wote waliotoa matamko yao ya hovyo wangebaki midomo wazi
 
Back
Top Bottom