Rais Samia kuziba masikio?

Prof Shivji alichanganya BIT na IGA, akadhani wajibu na haki ni kwa pande zote mbili.

Mohamed Salum mwanasheria wa serikali alimuelewesha siku ile ya kikao cha Waziri Mbarawa na wahariri.
Lissu: Wanaotetea mkataba wa DP World ni either HAMNAZO or WAMEHONGWA,

Ndugu Steven, uko kundi lipi kati ya hayo mawili?
 
Labda kununua Magoli ya yanga
 
Wewe una HAKIKA na Uzima wako kichwani kabla ya kumuongelea Lissu?
Sijamtukana Mwalimu Nyerere ndani ya ukumbi wa bunge. Sina mdomo mchafu kama mheshimiwa Lissu.

Sijapigwa risasi na mtu asiyejulikana pale Dodoma. Lissu anavyoongea tu unajua huyu ni bomu linalotaka kulipuka, namna anavyoikunja midomo yake kwa dharau.
 
Itoshe tu kusema wewe huna hoja
 
Wewe ni binadamu usiye na utu anpu fyuzi zimekata maana una ropoka kama mtoto mdogo
Fyuzi zimekata ni mkuu Lissu anayetukana watu ndani ya ukumbi wa bunge, pamoja na kutembelewa hospitalini na Makamu wa Rais bado anakosa heshima. Pamoja na kulipwa haki zake zote bado anakosa heshima.

Huyo mtu ndiye fyuzi zilishakata siku nyingi tangu utotoni.
 
Prof Shivji alichanganya BIT na IGA, akadhani wajibu na haki ni kwa pande zote mbili.

Mohamed Salum mwanasheria wa serikali alimuelewesha siku ile ya kikao cha Waziri Mbarawa na wahariri.
Hapo ulipo haujui tofauti kati ya BIT na IGA una ropoka tu
 
Pumbavu wenda mna nia ya kuibua kesi ya kigaidi ya Mbowe kama mnavyo fanya kwa Wakili Madereka, alafu kama kesi inaanza upya rudisha pesa yake aliowalipa pumbavu
Waibue Tena hiyo kesi lakini kuhusu bandari zetu hatuta POA kabisa hii nchi itavurugika
 
Katiba mpya je?
 
Mbaya zaidi alivuka mipaka na kuwadhuru, kuwapiga, kuwafungulia kesi za uongo, kuwatisha, na kuwaua wote waliokosoa. Mfano mzuri ni Tundu Lissu aliyemiminiwa risasi nyingi kwa kukosoa suala la Makinikia, lakini yote kwa yote aliishia kwenye aibu kubwa sana. [emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanasiasa ni wanafiki wanatafuta millage tu Hila swala la bandari limeingiliwa na wanasiasa watafuta umaarufu na kasababisha kuonekana Lina chembechembe za udini na ubaguzi
Endeleeni kumfariji sa100 kwamba wanasiasa ni wanafiki
 
Bandari zinafanya kazi chini ya kiwango? Na ziko chini ya serikali ya ccm kwa miaka 60+ je kama mmeshindwa kuendesha bandari zetu ni dhahiri kwamba nchi yetu mnaibaka sana kiuongozi. CCM achieni watanzania wenye akili waongoze nchi kwa ufanisi
 
Wafaa, watajua hawajui, ngoma nzito sana , kama kweli T5 sio mchezo wameyakanyaga Mungu wangu hatari sana mkuu, ila si anawabana kila aliepokea mgao au vipi?
Watazitapiaka Hela za mwarabu hatutakubali kabisa bandari zetu kugawiwa kwa mwarabu kijuha namna hii
 
Bandari na kilimo cha korosho vina uhusiano upi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…