Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili mkoani Mwanza

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,210
42,072
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Mwanza kuanzia Juni 13 hadi 15 mwaka huu. Pamoja na mambo mengine katika ziara hiyo atazindua jengo la Benki Kuu yq Tanzania (BOT), kukagua ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi linalogharimu TZS bilioni 700 na kizundua mradi wa maji wilayani Misungwi.
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia toka aapishwe kuwa Rais...

Ikumbukwe kwamba mkoa wa mwanza ni ngome kuu ya CCM.Bila kusahau kanda ya ziwa ndio ina kula nyingi za mshindi wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..
 
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Mwanza kuanzia Juni 13 hadi 15 mwaka huu. Pamoja na mambo mengine katika ziara hiyo atazindua jengo la Benki Kuu yq Tanzania (BOT), kukagua ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi linalogharimu TZS bilioni 700 na kizundua mradi wa maji wilayani Misungwi.
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia toka aapishwe kuwa Rais...

Ikumbukwe kwamba mkoa wa mwanza ni ngome kuu ya CCM.Bila kusahau kanda ya ziwa ndio ina kula nyingi za mshindi wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..

..ngome kuu ya ccm ni TUME YA UCHAGUZI.

..CCM hawategei kura za kanda yoyote ile kushinda uchaguzi.

..Ushindi wa CCM hupatikana kwa kuchotewa kura na tume ya uchaguzi.
 
Unamaanisha hiyo ziara ni "strategy" maalum na sio ziara ya kawaida kufungua na kukagua hiyo miradi?

Binafsi naamini Mwanza ni ngome ya CCM kama mgombea wao akiwa msukuma, kinyume na hapo ngoma draw.


We unacheza kabisa. Huko ndo kura nyingi sana za CCM japokuwa vyama vingine vimejaribu sana kumega hizo kura.
 
Unamaanisha hiyo ziara ni "strategy" maalum na sio ziara ya kawaida kufungua na kukagua hiyo miradi?

Binafsi naamini Mwanza ni ngome ya CCM kama mgombea wao akiwa msukuma, kinyume na hapo ngoma draw.
Nazani upepo 2025 kidogo itakuwa tofauti, wasukuma bado hawaamini kuwa hamna mbadala zaidi ya Hayati Magufuli.
 
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Mwanza kuanzia Juni 13 hadi 15 mwaka huu. Pamoja na mambo mengine katika ziara hiyo atazindua jengo la Benki Kuu yq Tanzania (BOT), kukagua ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi linalogharimu TZS bilioni 700 na kizundua mradi wa maji wilayani Misungwi.
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia toka aapishwe kuwa Rais...

Ikumbukwe kwamba mkoa wa mwanza ni ngome kuu ya CCM.Bila kusahau kanda ya ziwa ndio ina kula nyingi za mshindi wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..
Nakataa hiyo sii ziara yake ya kwanza na siamini kama eneo tajwa litatoa kula nyingi au kwa uelewa wangu chakula kingi kuliko maeneo mengine ya taifa letu.
 
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Mwanza kuanzia Juni 13 hadi 15 mwaka huu. Pamoja na mambo mengine katika ziara hiyo atazindua jengo la Benki Kuu yq Tanzania (BOT), kukagua ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi linalogharimu TZS bilioni 700 na kizundua mradi wa maji wilayani Misungwi.
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia toka aapishwe kuwa Rais...

Ikumbukwe kwamba mkoa wa mwanza ni ngome kuu ya CCM.Bila kusahau kanda ya ziwa ndio ina kula nyingi za mshindi wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..
Wasukuma hapo ndio mnachoshaga watu. Kwahiyo Mwanza ndio inaamua nani awe Rais? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Unamaanisha hiyo ziara ni "strategy" maalum na sio ziara ya kawaida kufungua na kukagua hiyo miradi?

Binafsi naamini Mwanza ni ngome ya CCM kama mgombea wao akiwa msukuma, kinyume na hapo ngoma draw.
Wasukuma hawana imani na CCM tena , Chadema Tu wajipange vizur ,tofaut na hapo wapiga Kura wachache Sana watajitokeza kupiga Kura 2025 tokea pande hzo
 
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Mwanza kuanzia Juni 13 hadi 15 mwaka huu. Pamoja na mambo mengine katika ziara hiyo atazindua jengo la Benki Kuu yq Tanzania (BOT), kukagua ujenzi wa daraja la Kigongo - Busisi linalogharimu TZS bilioni 700 na kizundua mradi wa maji wilayani Misungwi.
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia toka aapishwe kuwa Rais...

Ikumbukwe kwamba mkoa wa mwanza ni ngome kuu ya CCM.Bila kusahau kanda ya ziwa ndio ina kula nyingi za mshindi wa Urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania..
Umeandika kwa kudhihirisha una uelewa mdogo.

Kanda ya Ziwa ina 16% ya population ya Tanzania.
 
Wasukuma hapo ndio mnachoshaga watu. Kwahiyo Mwanza ndio inaamua nani awe Rais? 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Wakwamia awamu yao pendwa,badilikeni,dunia sasa Kijiji,mtaachwa jangwani masipojitasmini na kwenda na wakati.
 
Wakwamia awamu yao pendwa,badilikeni,dunia sasa Kijiji,mtaachwa jangwani masipojitasmini na kwenda na wakati.
hakuna kitu kibaya kama kujidanganya nafsi. Kuna wakati jamaa zangu wanakaribisha wenyewe mashambulizi kwasababu ya kujikweza kwao. Kuna ka ushamba fulani kinawasumbua hawa jamaa. Tanzania ina watu mil60...hakuna kabila special wala watu special. Wote tuna nafasi sawa
 
Back
Top Bottom