Ama kweli mwema ni mwema hata akionekana mbaya. Siku 100 za mama samia zilikua siku za kupanga ukandamizaji dhidi ya watu wenye stashahada wenye lengo la kuchukua shahada.
Nikiwa kama muhanga wa tatizo hilo. Nimeumia sana kuona sina sifa wanazoita za kisheria kufika elimu ya juu..
Hii inatokana na ufinyu wa nafasi kwenye vyuo vya serikali na private. Lengo langu lilikua ni kusoma udaktari.
Nimeomba vyuo vitano huku viwili vikiwa vya serikali vitatu private. Nina uhakika asilimia 99 vyuo vya private ningeweza kupata nafasi. Ukilinganisha nafasi walizotangaza ni nyingi sana. Kuna vyuo vya serikali wanatangaza nafasi 5 wengine 2.
Ada ya chuo 6.7milions. Kwa private. Nilihis nitakuwa na sifa ya kupata mkopo japo niliambiwa Mwaka jana rafiki angu alipata 3.2tution fee. Nyingine alitop up.. Wakati nikiwaza kutop up. Mkeka umetoka hakuna sifa kwa waajiriwa. Mshahara wa Mwaka mzima ni kama million 6.9.
Yaaaani kila kitu nimepoteza tu..
Nawaza nifanyeje wadau nipeni maoni,
Nikiwa kama muhanga wa tatizo hilo. Nimeumia sana kuona sina sifa wanazoita za kisheria kufika elimu ya juu..
Hii inatokana na ufinyu wa nafasi kwenye vyuo vya serikali na private. Lengo langu lilikua ni kusoma udaktari.
Nimeomba vyuo vitano huku viwili vikiwa vya serikali vitatu private. Nina uhakika asilimia 99 vyuo vya private ningeweza kupata nafasi. Ukilinganisha nafasi walizotangaza ni nyingi sana. Kuna vyuo vya serikali wanatangaza nafasi 5 wengine 2.
Ada ya chuo 6.7milions. Kwa private. Nilihis nitakuwa na sifa ya kupata mkopo japo niliambiwa Mwaka jana rafiki angu alipata 3.2tution fee. Nyingine alitop up.. Wakati nikiwaza kutop up. Mkeka umetoka hakuna sifa kwa waajiriwa. Mshahara wa Mwaka mzima ni kama million 6.9.
Yaaaani kila kitu nimepoteza tu..
Nawaza nifanyeje wadau nipeni maoni,