Rais Samia kaona hatari ya Sukuma gang na CHADEMA kuungana, anawatenganisha

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,834
18,837
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Ramli chonganishi....
 
Uhuru wetu una thamani kuliko kitu chochote kile, na mama ameturudishia uhuru wetu, Sukuma gang wahamie kwa ndugu yao Kagame.

Hahaha kweli Jambo usilo lijua ni usiku wa giza, laiti ungejua Kagame ni nani ungeingia chini ya uvungu, anyway leo hii raisi wako nasikia anakwenda kwa patron UG, bado haujaamka tu?

Raisi wako alipoapishwa tu akaenda kwa Kagame alipotoka yeye Mabeyo akafwatia na baada ya Mabeyo Siro na yeye akatia timu kwa Kagame, yote hiyo ndani ya wiki moja, haijawahi kutoka tangia kuanzishwa kwa Jamhuri yetu, kwamba Raisi, Mkuu wa Majeshi na Mkuu wa Polisi wote wanakwenda kutembelea nchi moja kwa mfululizo, halafu unasema supporters wa Magu wahamie kwa Kagame ?

Wake up!
 
Hahaha kweli Jambo usilo lijua ni usiku wa giza, laiti ungejua Kagame ni nani kwenye huu utawala ungeingia chini ya uvungu, anyway leo hii Samia nasikia anakwenda kwa patron UG, bado haujaamka ?
Wewe ndio umelala usingizi wa pono, Museveni ni mdau wetu, tutapiga ela na ajira kibao kwenye bomba la mafuta la Chongwereni.

Hivi shule mlikwenda kusomea ujinga?

Cc: FaizaFoxy
 
Wewe ndio umelala usingizi wa pono, Museveni ni mdau wetu, tutapiga ela na ajira kibao kwenye bomba la mafuta la Chongwereni.

Hivi shule mlikwenda kusomea ujinga?

Cc: FaizaFoxy

Museveni na Kagame ni ndugu moja, siajabu raisi wako akitoka kwa Museveni akapitia kwa Kagame, subiri uone!
 
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Hata samwel sitta aliungana na akawapa mileage ya kumshambulia lowasa, mwisho wa siku wakaenda na lowasa wakimsafisha huku sitta akionekana alikuwa na chuki binafsi.

Magufuli aliwajua hao ni watu wa maslahi. Sifa za upinzani wa tanzania;
1. Hawana misimamo inayodumu.
2. Ukiwapa nafasi ya kufanya siasa huru ujue umewapa mbegu ya uharibifu wako hata JK anajua.
3. Ni wapinzani wa majira, kwamba huwa wapinzani wakikosa fursa za ulaji na upigaji.
4. Wengi wamegeuza vyama vyao vya siasa kama vitega uchumi vyao ndio maana vina turn over kubwa ya maafisa waandamizi wa vyama vyao maana huwa wanapishana linapokuja suala la ulaji.
 
Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu
Serikali haiwezi kushindwa na propaganda Kwa unatukosea kutujadili kundi moja na Mataiga
 
Mnasahau sisi MATAGA na Sukuma Gang ni wanasisiem.

2025 msijekuanza kulialia tumewaibia kura.

Tanzania hatuna upinzani, tuna kundi la wapigaji tu wanaojiita wapinzani.
Mkiweka Tume huru na Katiba mpya hatutalia.
Sukuma gang kama hamtajifunza wakati huu basi mtakuwa kama sikio la kufa.
 
Ko
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani

Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema

Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia

Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni

Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,

Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu

Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli

Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli

Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S

Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Kosa kubwa lilifanyika ni kudhani unaweza kubomoa legacy ya alopita bila kutenda makubwa zaidi ya alotenda yanayoonekana Kwa wananchi. Kosa kubwa kingine walifanya CHADEMA ni kushindwa kulitumia kundi kubwa la sukumagang on their advantage. Pamoja na kutengana muda mrefu, nguvu ya asili inawaunganisha chini Kwa chini.
 
Back
Top Bottom