Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Simaanishi muungano rasmi wa vyama vya siasa, muungano wa ku share na kusambaza taarifa hasi dhidi ya serikali mtandaoni na mtaani
Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema
Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia
Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni
Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,
Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu
Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli
Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli
Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S
Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%
Haya makundi mawili, Sukuma Gang na Chadema ni maadui wakubwa sana kisiasa, hasa ukizingatia utawala wa Magufuli ulivyofanya unyama mkubwa kwa Chadema
Lakini hivi sasa haya makundi yanaunganishwa na kitu kimoja, kumpinga Samia
Licha ya uhasama walio nao wanaweza kusahau yaliyopita na kuungana na kuunda Timu kali ya propaganda mtandaoni
Propaganda za mtandaoni zina nguvu sana kama zikiwa organized,
Sukuma gang walikuwa sehemu ya kundi lililoitwa MATAGA na walijijenga sana kipindi cha Magufuli kusambaza propaganda za kuisifu serikali
Chadema nao wana mtandao mkubwa online na wakiungana na hao maadui zao, Serikali ya Samia itakuwa na wakati mgumu
Sasa Samia naona kama ameshtuka, anawavuta Chadema mdogo mdogo, na anaweza kuwapa haki ambazo ziliporwa na Magufuli
Hili litafanya Chadema wamuone Mama kama mtu muungwana na anayestahili kuungwa mkono huku wakiendelea kumlaani Magufuli
Litafanya Sukuma gang wataona Chadema na CCM ya Samia kama kitu kimoja na watakuwa wanawaahambulia wote, utakua mpango mzuri wa kuwazuia kuungana S
Je atafanikiwa? Kikwazo cha huu mpango ni Chadema ya sasa kutekwa na wanaharakati na sidhani kama Mbowe anaweza kuwadhibiti kwa 100%