Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
Pole sana ndugu yangu, unajua serikali yenu ujamaa, si ndio ilitaifisha enzi zile mashamba toka kwa wazungu, waliokuwa wakilima mashamba makubwa ya ngano,kama kule Arusha,Mbeya na kwingineko,na baadae serikali ikaja shindwa kuyaendeleza...sasa inabidi tuwe wapole tu, manake kupata tena ngano hiyo ya hizo chapati na maandazi yako toka kwa hao 'mabeberu' itabidi sasa watuuzie kwa bei watakayo......kupanga ni kuchagua, nafikiri tuliyataka wenyewe... tujaribu kuinuka tulipokuwa na tusonge mbele.....au nadanganya ndugu zangu??........kazi iendelee.tunahitaji ngano ya bei nafuu maandazi na chapati tu afford kama zamani