Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,173
- 27,223
Mama Samia popote ulipo nakupa hongera Sana kwa hatua hii uliyofikia.
Mimi naweza kuwa tofauti na wengine kwenye kuliangalia hili suala. Bidhaa nyingi za ndani hazina ubora kabisa hivyo kuanza kuruhusu bidhaa za Kenya kuanza kuingia ni hatua kubwa na ambayo itawaamsha usingizini wafanyabiashara wa bongo kuanza kutengeneza bidhaa kwa ubora mkubwa sana.
Mfano hadi Sasa bidhaa kama juices, unga wa ngano n.k zimesharuhusiwa kuingia Tena bila inspection fee, maana yake ni kuwa hivyo vitu huku tutavipata kwa Bei ndogo na hivyo kufanya bidhaa zinazozalishwa nchini nazo kupungua Bei na hatimaye kupunguza inflation.
Hii ni hatua nzuri Sana Mama Samia, wenye viwanda ni wakati wao Sasa wa kunoa vichwa na kutengeneza bidhaa Bora ili kupambana na hizo za wakenya.
Hii ni survival of the fittest, wataoweza kupambana na bidhaa za Kenya wapambane na wataoshindwa basi ruksa kufunga hivyo viwanda.
Miaka mingi tumelia ubora wa bidhaa za ndani , Sasa Mama kaja kafungua nchi hivyo hii ichukuliwe Kama challenge kwenye nyie wenye viwanda ambao mlikuwa mnazalisha juice zisizo na ubora au mnazalisha unga kwa bei kubwa.
Kongole Mama Samia, kazi iendelee.
Mimi naweza kuwa tofauti na wengine kwenye kuliangalia hili suala. Bidhaa nyingi za ndani hazina ubora kabisa hivyo kuanza kuruhusu bidhaa za Kenya kuanza kuingia ni hatua kubwa na ambayo itawaamsha usingizini wafanyabiashara wa bongo kuanza kutengeneza bidhaa kwa ubora mkubwa sana.
Mfano hadi Sasa bidhaa kama juices, unga wa ngano n.k zimesharuhusiwa kuingia Tena bila inspection fee, maana yake ni kuwa hivyo vitu huku tutavipata kwa Bei ndogo na hivyo kufanya bidhaa zinazozalishwa nchini nazo kupungua Bei na hatimaye kupunguza inflation.
Hii ni hatua nzuri Sana Mama Samia, wenye viwanda ni wakati wao Sasa wa kunoa vichwa na kutengeneza bidhaa Bora ili kupambana na hizo za wakenya.
Hii ni survival of the fittest, wataoweza kupambana na bidhaa za Kenya wapambane na wataoshindwa basi ruksa kufunga hivyo viwanda.
Miaka mingi tumelia ubora wa bidhaa za ndani , Sasa Mama kaja kafungua nchi hivyo hii ichukuliwe Kama challenge kwenye nyie wenye viwanda ambao mlikuwa mnazalisha juice zisizo na ubora au mnazalisha unga kwa bei kubwa.
Kongole Mama Samia, kazi iendelee.