Rais Samia hapaswi kuitwa Daktari

Wivu ni kitu kibaya sana! hivi mtu ambaye tayari ana'occupy the highest office on land unadhani udaktari wa heshima unamuongezea chochote katika katika na mambo yake?
 
Wivu ni kitu kibaya sana! hivi mtu ambaye tayari ana'occupy the highest office on land unadhani udaktari wa heshima unamuongezea chochote katika katika na mambo yake?
Udaktari unamuongezea sana maujiko ndo mana kila siku anatunukiwa udaktari wa maigizo.
 
Baada ya kusoma andiko lako imenibidi nipitie taarifa nyingi za Mawasiliano Ikulu na kugundua uko sahihi. Wamekuwa wakikwepa kumuadress kwa maandishi kama Dr. Samia bali kama mhe Samia Suluhu Rais ....
Matatizo yako kwa CCM na viongozi wake, huko kila wakimuaddress lazima waandike Dr tena kwa fahari kubwa sana na ni kama hawataki wengine (wanaostahili) waitwe hivyo bali wamilikishe title hiyo kwa mwenyekiti wao tuu.
Ndani ya CCM kuna kaushamba kameota mizizi na imejikita haswa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Punguza Stress..
Magufuli alikuwa na Ph.D. in Chemistry kutoka University of Dar es Salaam na wala hakupata Honorary PhD
na alimaliza doctoral studies mwaka 2009.
 
Hili ni tatizo la upinzani kukosa agenda. Kushika dola labda iwe mwaka 2300 kama hizi ndo agenda mlizo nazo. Wananchi hawawezi kuwa na imani na upinzani unaopoteza muda kuongelea elimu na hadhi ya Rais badala ya kuongelea mambo yanayowagusa kila siku.
 
Ni ujinga kupigana na majina yake sababu hata akifutiwa huo udr bado ni samia yule yule anayetuongoza. Yaaani shubiri kwa walamba shubiri na asali kwa walamba asali haibadilishwi kwa kumfutia au kumpachika udr.

Sio ujinga, tutofautishe Doctor of Letters na Doctor of Phylosopht PhD.
 

Ni mpinzani gani ameongelea PhD ya kupewa ya Rais?. Tatizo Jambo lolote ambalo lipo kinyume na CCM mnaita ni wapinzani.
 
Noted
 
Yeye mwenyewe kakiri PhD ilimshinda halafu Leo wanampa cheo Cha udokta.
 


Nani alikwambia mama Samia anaitwa Daktari?
 
Wivu ni kitu kibaya sana! hivi mtu ambaye tayari ana'occupy the highest office on land unadhani udaktari wa heshima unamuongezea chochote katika katika na mambo yake?

Wewe ndio una wivu. Abood na utajiri wake amehangaika mpaka kununua udokta, msukuma naye kanunua udokta nk. Kuna Raha yake kuitwa Dr acha tu. Usichukulie kawaida.
 
Watotowangu wakwanza nimemwita jina Dokta Ramazani, wapili Profesa Ramazani,watatu Injinia Ramazani wanne nataka nimwite Wakilimsomi Ramazani hamna wa kunizuia
 
Daktari mwenye vyeti vya kuunga unga daktari hata ishu ndogo ya mafuta na umeme vimemshinda labda dokta wa kienyeji.....By the way ndo mama yenu huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi hii bhana! Mwanasiasa mwenye vyeti vingi, vizuri na vya moja kwa moja ni Profesa Sospeter Muhongo, mwenyewe aliwahi kusema kama atatakiwa kuviwasilisha itabidi atafute pick up lakini bado mlimzingua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…