Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,052
- 9,952
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kwa muda mrefu kumekuwa na changamoto ya miradi kuchelewa, ambapo hivi karibuni kisingizio kimekuwa ni janga la COVID19
Amesema hayo baada ya kuzindua gati namba 0 hadi 7 katika Bandari ya Dar es Salaam. Ameeleza, kwa sasa COVID-19 tumeshaizoea hivyo ni muhimu kujifunza kuishi nayo isiwe tena kigezo cha miradi kuchelewa
Amesema hayo baada ya kuzindua gati namba 0 hadi 7 katika Bandari ya Dar es Salaam. Ameeleza, kwa sasa COVID-19 tumeshaizoea hivyo ni muhimu kujifunza kuishi nayo isiwe tena kigezo cha miradi kuchelewa