MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Usipende sana mama kufanya jambo ili kuwafurahisha hawa jamaa utaambulia failure.
Tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu ndani yao hakuna nia njema. Baba yao ni baba wa uongo kama inavyojulikana.
Lengo ni kuangusha state kwa gharama yoyote.
Alitokea nabii mmoja katika roho ya Elia, huyo alikuwa haangalii sura za akina Ahabu, sina mda wa kutosha kukuelezea namna huyo nabii alivyowanyoosha hao jamaa ili mioyo yao igeuke na kurejea katika uzalendo wa nchi yao.
Take care mama, hawa watu watakupoteza soon, historia inasema, Lucifer na malaika zake ni wapinzani wa Mungu na haitatokea wawe kitu kimoja na Jehova, na ikitokea hivyo haikosi kutokea kwa anguko kubwa la wafalme juu ya uso wa nchi.
Lucifer ni mshitaki wa ndgu zetu,hilo linajulikana, hakosi kuibua mashitaka ya uongo na ya kweli maana ndio kazi yake.
Kwa kipindi hiki tarajia mengi. Yatakuja kwa sura ya uzuri kumbe original intent ni ile ile iliyokuwako tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu.
“Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
”
— 2 Wakorintho 11:14 (Biblia Takatifu)
Tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu ndani yao hakuna nia njema. Baba yao ni baba wa uongo kama inavyojulikana.
Lengo ni kuangusha state kwa gharama yoyote.
Alitokea nabii mmoja katika roho ya Elia, huyo alikuwa haangalii sura za akina Ahabu, sina mda wa kutosha kukuelezea namna huyo nabii alivyowanyoosha hao jamaa ili mioyo yao igeuke na kurejea katika uzalendo wa nchi yao.
Take care mama, hawa watu watakupoteza soon, historia inasema, Lucifer na malaika zake ni wapinzani wa Mungu na haitatokea wawe kitu kimoja na Jehova, na ikitokea hivyo haikosi kutokea kwa anguko kubwa la wafalme juu ya uso wa nchi.
Lucifer ni mshitaki wa ndgu zetu,hilo linajulikana, hakosi kuibua mashitaka ya uongo na ya kweli maana ndio kazi yake.
Kwa kipindi hiki tarajia mengi. Yatakuja kwa sura ya uzuri kumbe original intent ni ile ile iliyokuwako tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu.
“Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
”
— 2 Wakorintho 11:14 (Biblia Takatifu)