Rais Samia Azindua PAPU Tower Arusha

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
702
Reaction score
631
LEO KATIKA KUMBUKUMBU

2 Septemba 2023 — kuzinduliwa kwa PAPU Tower Arusha

Rais Mhe Dr. Samia Suluhu Hassan alizindua rasmi Jengo la Makao Makuu ya Umoja wa Posta Afrika (PAPU Tower), lililopo Philips, Arusha. Alifanya hafla hiyo pamoja na viongozi wa PAPU, akiwemo Katibu Mkuu Dkt. Sifundo Moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…