omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
Mkuu, rekebisha hapo.Katiba pendekezwa iliyopunguza Madaraka ya Rais ililetwa wakati wa JK ikakataliwa, Wapinzani walitaka hadi Serikali 3 nayo iwemo
Subira yavuta kheri
Sio wapinzania waliopendekeza serikali 3 bali ni wananchi kupitia kamati/tume ya Mzee Warioba na Jaji Ramadhani (R.I.P)