Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,683
Walipanga kukusanya bil 150 .Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Yeye na kaka yake ni kitu kimoja hawashauriki hadi mauti iwakute.Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Hili ni kweli kabisa lipo wazi kwa mtu mwenye akili timamu unagundua wasaidizi wa Mama their not real, Wana msinitch Mama, Kuna vitu wanafanya mpaka unajiuliza Wana Nia njema na Mama kweli Ila muda si mrefu ukweli utafahamikaTatizo kubwa la Mama hadi sasa hajagundua yuko na washauri ambao sio sahihi. Wasaidizi wake wengi wana uchu wa kugombea urais 2025 hivyo wana mgombanisha na wananchi bila yeye kujua.
Huu ni mpango mahsusi ulio sukwa. Na kama mama hata shtuka avuruge safu yake ya uongozi kuanzia Pm hadi ma dc hamna rangi ata acha kuona.
Fikiria juzi kuna naibu katibu mkuu afya na hamasisha kujifukiza. Ni kwamba yuko wizara ya afya lakini ana pinga chanjo. Hiyo ni simple maths.
Nachojiuliza ni kwamba yule wazir chemba ya fedha alisema wataachia bil 5 ziende kwenye mzunguko wa hela na watanzania hawataona mzigo wa tozo kwasabu mzunguko wa pesa utakuepo sasa imekuaje?Huwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Nakuunga mkono..na hawa vijana wadogo wadogo aliowateua wasichana warembl kabisa ambao hata maisha ya fitna za siasa hawayajui ndiyo wataenda kumharibia kabisa!! Mtu kama ded msichana mrembo kamchagua yule si anashikiliwa tu anatongozwa anapewa kitita cha maana anajengewa nyumba fasta ataacha kumsalit mama anayemwambia chapa kaz tu? Mama apangue saf na achanganye na wabobez wa mambo? Kuchagua vijana warembo siyo sifaTatizo kubwa la Mama hadi sasa hajagundua yuko na washauri ambao sio sahihi. Wasaidizi wake wengi wana uchu wa kugombea urais 2025 hivyo wana mgombanisha na wananchi bila yeye kujua.
Huu ni mpango mahsusi ulio sukwa. Na kama mama hata shtuka avuruge safu yake ya uongozi kuanzia Pm hadi ma dc hamna rangi ata acha kuona.
Fikiria juzi kuna naibu katibu mkuu afya na hamasisha kujifukiza. Ni kwamba yuko wizara ya afya lakini ana pinga chanjo. Hiyo ni simple maths.
waccm mmegeuka wapinzani wa kila kituHuwezi kupiga hatua ya kimaendeleo kwa kuongeza kodi (tozo). Unapoweka kodi kubwa unaua uchumi. Uchumi unapokufa huwezi kupata hiyo kodi. Shughuli za kiuchumi zinaposhuka kuna watu hawataweza kuajiriwa katika maisha yao yote. Watu watamaliza vyuo lakini hawatapata fursa ya kuajiriwa katika maisha yao yote.
Rais atafute washauri wazuri wa maswala ya uchumi ili kuliokoa taifa. Kuna watu wanasema tulipe tozo tujenge nchi. Tozo kubwa au kodi kubwa inaharibu uchumi.
Tozo ndogo au kodi ndogo inachochea uchumi, inaruhusu watu kuwa na kipato cha kufanya manunuzi au cha kufungua biashara mpya na kuongeza mzunguko wa fedha. Ukimkamua mtu kwa kodi kubwa au tozo kubwa unampunguzia uwezo wa kufanya manunuzi au unaua kabisa uwezo wake wa kufungua biashara mpya. Kodi kubwa haijawahi kuwa suluhisho la kuwa na uchumi mzuri.
Siyo kweli! Madaraka ni ulev unapoyapata hutamani yakuponyoke..subir uoneKwa mujibu wa gazeti la CCM huyu Maza hana mahesabu ya 2025 hivyo liwalo na liwe
Money injectionπ€£π€£Nachojiuliza ni kwamba yule wazir chemba ya fedha alisema wataachia bil 5 ziende kwenye mzunguko wa hela na watanzania hawataona mzigo wa tozo kwasabu mzunguko wa pesa utakuepo sasa imekuaje?
Huo ni uchumi wakizamani kabla ya vita vya pili vya dunia, leo hii Korea ya kusini 20% ya mapato ya kigeni wanapata kutoka Samsung.Ni kweli.
Nchi yoyote inayotegemea zaidwai kodi katika maendeleo yake badala ya kutegemea uzalishaji na uuzaji wa huduma na bidhaa nje ya nchi HAIWEZI KUENDELEA
Nchi zinazoendelea kwasasa zinakuza chumi zao kwa exportation zaidi na sio kwa local tax
Rais alizingatie hili
Hapo hujazungumzia MIKOPO kutoka nchi wahisani.Sasa kama hawa viongozi wetu hawana mpango wa kuboresha uchumi unafikiri tunaweza kukwepa huo mdororo wa kiuchumi?
Check hii orodha na athari yake ikoje kwa WANYONGE na taifa kwa ujumla.
1.Tozo ya umeme
2.Tozo ya miamala ya simu
3.Tozo kwenye mafuta
Laiti ingekuwa Tanzania ni gari ningekuwa nishateremka kwa speed ya dereva wetu.
Mkuu naomba nauli nihamie Burundi πππ
Kwanza Uchumi ulishajifia kitambo sana wasitudanganyeKwa nini ashauriwe? Yeye mwenyewe kwa akili alizonazo, ana maoni gani?
Magenge ya Cartels yamerudiMoja wapo ya athari zilizosababishwa na hizi kodi ni mfumuko wa bei Kila mfanyabiashara anangalia maslahi yake angalia bei ya gesi ,mbolea,mafuta,nyama,umeme....? Wenye wizara husika wala hawafatiliii aliongea kalemani gesi ishuke ndani ya siku 14 badala yake ikapanda zaidi