Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Kuna kila sababu ya mheshimiwa rais wa JMT ashauriwe avunje bunge kwa maslahi mapana ya Taifa.
Kuna sababu kuntu mojawapo ni hizi:
1. Wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi wanadai mishahara yao iongezwe ili hali wakijua uchumi wa nchi ni tete:
NB: Hili ni bunge au halmashauri ya chama?
Kuna sababu kuntu mojawapo ni hizi:
1. Wabunge, ambao ni wawakilishi wa wananchi wanadai mishahara yao iongezwe ili hali wakijua uchumi wa nchi ni tete:
- Deni la taifa liko juu
- Miradi ya nchi ni mikubwa fedha hamna
- Vijana wanalia mitaani hawana ajira
- Wakulima hawana ruzuku za kilimo ili wazalishe kwa tija
- Watoto wanakaa chini baadhi ya shule na pia mazingira ya shule zetu si rafiki
NB: Hili ni bunge au halmashauri ya chama?